Ndo maana nikakuuliza, unaamini , hatuhitaji mfumo utakaobeba watu wote??Sisi tunaongelea basic standard za ujumla sio nguvu za mtu mmoja mmoja.Unaamini huko vijijini watu wana-access na hizo internet na papers unazosema.Mfumo mfumo
Watu wote wanamapungufu yanayokinai.Hata mtu awe vipi, hata wewe..mtu akikaa nawe miezi, miaka tena mtu wa karibu atakuona kiazi tu.Thus hata hao wadada wako ni the same.Kila mtu ana upuuzi wake
Maswali yako ya ajabu. Mkiwa watu zaidi ya mmoja automatically kwa kutaka au kutokutaka, kujua au kutokujua mtajikuta mnatengeneza alignment kwenye baadhi ya mambo ili pasiwe na mvurugano.Mambo mengi sio sheria ambazo ziko legally binding but ni utaratibu ili watu waweze kuishi na CO-Exist together
High value man my foot.
Bila shaka ni watoto nyinyi.Huwezi kukuta mwanaume mzima mwenye akili zake anadiscuss mambo ya bikra ns the like, hata kwenye mazungumzo hayapo.
Ni utoto na fantasy tu ambazo hazina maana.
Watu wanaoa wanawake wenye watoto, sembuse hizo bikra, watu wanafanya uzinzi na...
Tena ni takataka.Viongozi wengi kama sio wote hawana uwezo.Kwenye kundi la vipofu hata mwenye chongo huonekana bora.Tz viongozi wote matapeli tu, waoga, hawana uzalendo.Ni vile wamejikuta wapo hapo tu.Hakuna kiongozi yoyote anayevutia pale juu....labda Nchimbi ndo kuna muda kama zinarudi then...
Mke wa Marehemu Mwai Kibaki, aliitisha conference ya kumtaka mme wake, kipindi hicho ni Rais, akiri mbele ya uma kuwa hana mahusiano mengine, mzee yule aliitisha akaongea na mkewe akiwa kanuna pembeni....
Sasa hadi rais alitingishwa vile hawa wengine vipi???
Utawapoteza wenzako wewe, damu zitakulilia hizi, au hujui kuna vijana humu watachukua ushauri wako kama ulivyo.Pili kuna baadhi ya vitu huwa havisemwi, siri yako mpaka kaburini.na kila mtu ana KASIRI KAKE
Hujiulizi mama Samia kipindi alipolalamika na kulaumu TEC hadharani kwa machungu, hujiulizi why?? Wakati anauwezo wa kupiga kimya na akatimiza miaka yake akaondoka??
Kuna mtu kasema hapo juu.Biashara ya kupangisha nyumba za makazi Africa ni Biashara na Huduma.
Mwenye nyumba kutegemea kodi kama chanzo kikuu cha mapato ni mateso.Licha ya kodi lazima na yeye ataanza mkopa kopa mpangaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.