Recent content by Intuition

  1. I

    Kuna haja Tanzania tukaiga mfumo wa elimu wa Irani

    Ndo maana nikakuuliza, unaamini , hatuhitaji mfumo utakaobeba watu wote??Sisi tunaongelea basic standard za ujumla sio nguvu za mtu mmoja mmoja.Unaamini huko vijijini watu wana-access na hizo internet na papers unazosema.Mfumo mfumo
  2. I

    Kwa nini kila mwanamke ninayeingia naye kwenye uhusiano namuona "pumba"? Nini tatizo?

    Watu wote wanamapungufu yanayokinai.Hata mtu awe vipi, hata wewe..mtu akikaa nawe miezi, miaka tena mtu wa karibu atakuona kiazi tu.Thus hata hao wadada wako ni the same.Kila mtu ana upuuzi wake
  3. I

    Kuna haja Tanzania tukaiga mfumo wa elimu wa Irani

    Kwamba watu wasiende shule wasome kwa youtube, na madaktari nao wajifunze upasuaji kwa chatgbt sio?? Watu mnachanganyikiwa
  4. I

    Stop letting societies clock dictate when you show up

    Maswali yako ya ajabu. Mkiwa watu zaidi ya mmoja automatically kwa kutaka au kutokutaka, kujua au kutokujua mtajikuta mnatengeneza alignment kwenye baadhi ya mambo ili pasiwe na mvurugano.Mambo mengi sio sheria ambazo ziko legally binding but ni utaratibu ili watu waweze kuishi na CO-Exist together
  5. I

    PostGE2025 We ulisikia wapi Mwenyekiti 'Tume ya Rais' anawasilisha 'Ripoti ya Rais' kwa 'Rais' halafu anakuja kujieleza kwa wananchi? Msitupigie kelele!

    Sasa si ndo alichosema mtoa mada, wakina Chande wanakuja kujieleza nini kwa watu wakati sio report yao???
  6. I

    Jaji Chande: Suala la Upoteaji linatukera hata sisi, hata Ulaya watu wanapotea

    Hawa wazee kuna kitu wanakitafuta sio bure.Watakua wanataka wajifie na Tanzania yao hawa
  7. I

    Iran imejichokea kupitiliza

    Mtoa mada. Watu wamekusakama sana.Ulijipanga kwa hii vita au ulipitiwa tu ukaamua kuanzisha uzi??
  8. I

    Wanawake wengi hufikiri Kila mwanaume aliwahi kutoa bikra wakati waliokutana na bikra ni wanaume 2 kati ya 10

    High value man my foot. Bila shaka ni watoto nyinyi.Huwezi kukuta mwanaume mzima mwenye akili zake anadiscuss mambo ya bikra ns the like, hata kwenye mazungumzo hayapo. Ni utoto na fantasy tu ambazo hazina maana. Watu wanaoa wanawake wenye watoto, sembuse hizo bikra, watu wanafanya uzinzi na...
  9. I

    PostGE2025 Bongo Zozo anamzidi akili Jaji Chande(?) Common sense must prevail

    Tena ni takataka.Viongozi wengi kama sio wote hawana uwezo.Kwenye kundi la vipofu hata mwenye chongo huonekana bora.Tz viongozi wote matapeli tu, waoga, hawana uzalendo.Ni vile wamejikuta wapo hapo tu.Hakuna kiongozi yoyote anayevutia pale juu....labda Nchimbi ndo kuna muda kama zinarudi then...
  10. I

    Wadada wa Kenya hawafai kabisa kuolewa na mtanzania

    Mke wa Marehemu Mwai Kibaki, aliitisha conference ya kumtaka mme wake, kipindi hicho ni Rais, akiri mbele ya uma kuwa hana mahusiano mengine, mzee yule aliitisha akaongea na mkewe akiwa kanuna pembeni.... Sasa hadi rais alitingishwa vile hawa wengine vipi???
  11. I

    Ni aibu sana unakuta mkristo anaikandia Israel na US. Mabavu yao ndio ishara ya amani yako, hivi unadhania hawa radicals wanafurahia imani yako?

    Mnapoteza muda wenu kwa vitu vya kipumbavu sana.Nahisi mnatamani mkawe hata kuku huko US au Israel.Totally brainwashed
  12. I

    Namalizia weekend hii nikiwa na mtoto ana macho ya kusinzia na makebo makubwa, vipi wewe unaimalizaje hii wikiendi?

    Utawapoteza wenzako wewe, damu zitakulilia hizi, au hujui kuna vijana humu watachukua ushauri wako kama ulivyo.Pili kuna baadhi ya vitu huwa havisemwi, siri yako mpaka kaburini.na kila mtu ana KASIRI KAKE
  13. I

    SItokaa nitembee na wanawake hovyo

    Mnapataga ujasiri upi kulala na mtu humjui kabisa??
  14. I

    Ina maana TEC walikosa hata katekista kuwawakilisha kwenye report ya jaji Chande.

    Hujiulizi mama Samia kipindi alipolalamika na kulaumu TEC hadharani kwa machungu, hujiulizi why?? Wakati anauwezo wa kupiga kimya na akatimiza miaka yake akaondoka??
  15. I

    Kuna muda wapangaji ukiwa mpole wanajimilikisha nyumba yako.

    Kuna mtu kasema hapo juu.Biashara ya kupangisha nyumba za makazi Africa ni Biashara na Huduma. Mwenye nyumba kutegemea kodi kama chanzo kikuu cha mapato ni mateso.Licha ya kodi lazima na yeye ataanza mkopa kopa mpangaji.
Back
Top Bottom