Sema mzee nimempenda, kanyooka kama ruler.
Amesema kabisa matumizi ya risasi za moto kwa raia hapana, ni kuwapiga mabomu ya kuwapiga risasi za rubber, wataanguka huko n.k
Nimesikiliza interview ya Mahita jana IGP mstaafu.Kuna maoni au swali aliulizwa kuhusu utendaji wa sasa wa polisi na nini angekisimamia kwa mazingira ya sasa.Majibu yake:
1. Askari wafuate utaratibu wa sheria na PGO yao.
2.Wasitumike kisiasa na wasipokee order kutoka kwa wanasiasa, akasema...
CCM should be labelled as a Terrorist organization.Na serikali yao TERRORIST Government.
Hawa jamaa wameumiza watu wengi na wanajiona kama miungu watu.
Nyie siku zenu zinahesabika.Sikio la kufa halisikii dawa. Sema pia ni kama hamna akili, hivi dunia ya sasa kweli ni ya kukomaa na utekaji wa kijingq kabisa, tena mnatumia sijui wavuta bangi wale, na mbaya zaidi hampoi yaani.Yaani mama Samia mnamtia katika matatizo makubwa sana, hata kua na uzee...
Hayo mabank ya China ni ya serikali, hata ukuaji wake ni kama artificial tu, meaning serikali inamwaga mitaji na mipesa huko na market favours nyingi sana, ndo maana unakuta yanajitutumua.Mabank ya US, Europe, mengi private, ukiona liko pale juu ujue limefight, limegrow taratibu, kuna uhalisia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.