Kuna watu hatuna vyama: But kwa CCM- BIG NO.Chama tawala ambacho hakikemei utekekaji, upotezaji watu, uf-ra-j - i wa watekwaji, rushwa & ubadhurifu wa mali za umma, uonevu etc Hamna chama hapo kwa sasa, ni kukundi cha watu wenye tamaa za mali, madaraka, wenye connection, wenye mamlaka- wenye...