Kuna watu huko serikalini hawana akili kabisa, ndo maana Nchimbi kasema " TUPAMBANIE KATIBA MPYA" ameishaanza kuchoka na low IQs za baadhi ya watendaji wenye dhamana kubwa.
Nchimbi naye aangalie asijepewa case ya kuhamasisha vurugu na uhaini maana nahisi kuna ka-serikali ndani ya serikali.
Kila mtu atumie pesa zake atakavyo.Ingawa pesa za hao jamaa wa madini, wavuvi n.k hazihitaji akili nyingi na wao mambo yao yako hivyo hivyo.
Sema waafrika tuna matatizo walai,hao jamaa hata Mwanza pale hawana maji ya uhakika, si wawekeze huko.Si wajenge waviwanja sasa kama haya ya world cup...
Jeshi la siasa tu hilo.Wanasema et wanajukumu la kulinda wananchi kwa mujibu wa katiba, hao wanaotekwa na kupotezwa wao wako kimya na mabakamabaka yao sio raia??Tz hakuna mashujaa wa haki tena, vyombo vyote ni ujanjaujanja na siasa tu.
Kwa hiyo na polisi na hizi fine zao za barabarani na makusanyo mengine kibao nao siku moja zikiwapanda tutaona wanaenda kutoa GAWIO?Hawa NIDA wanafanya huduma ama biashara??
Nafikiri kama vipi, serikali ifanye kushindanisha taasisi zinakusanya ukwasi wa kutosha, mwisho wa siku yote ni mapato yao
Hiyo mihadhara hua ina lengo gani hasa??Au kupiga porojo tu na kupoteza muda.Kwamba mnaandaa mihadhara kuongea PPP?Hiyo PPP inahitaji elimu gani ya kutisha jamani mpaka et mtu awe mbobezi.Maendeleo hayana siasa, tupigeni kazi kwa vitendo, tuko nyuma sana, maneno [mihadhara] yawe machache...
Hamna ushujaa hapo, sex ni moja ya sifa za kiumbe hai [mamalia].Na kuukana ubinadamu wako na mwili wako.Sex inaepukwa kama kuna sababu za msingi mfano magonjwa, mwenza hajapatikana, kujitoa sadaka - mapadre, masista n.k.
Kinyume na hapo ni kujitesa tu kwa mtu aliyekamilika.
Kiasi huko sahihi, kanisani mahubiri mengi ni nadharia sana.Viongozi wa dini hawakanyi dhambi zilizonjenje; Yesu alikua anapiga spana bila kupindisha, Yohane mbatizaji alikua anapiga spana bila woga na ndo maana waliuwa wote wale.Kuna manabii kibao walikuwa wanaongea ukweli mbele ya watawala...
Hatutaki matumaini, tunataka facts na ukweli na matokeo.CCM mmevimba mmeshiba mnapasuka tu sasa hivi, msipoendana na hali ya ulimwengu wa sasa mtatapatapa sana
Inasikitisha sana:Halafu naonaga et wapo misikiti na makanisani wamenyoosha mikono wanapiga sala, unajua binadamu tu wapumbavu sana.Unaendaje msikitini au kanisani wakati kuna watoto wa watu wamepotea au kufa chini yako na huna unachofanya au kusema, watu wamepotezwa kikatili kabisa lkn viongozi...
Kwa hiyo mmemchagua Makonda ili awape maendeleo??Hata usukumani kwao kashindwa kutoboa, kuna wanaume wa shoka kule, kakimbilia Kigamboni watu wakamkimbiza tena wanaccm wenzake, wakaangalia wanyongewanyonge kaibukia Arusha.
Nafikiri lengo la mtoa mada ni hivi hakuna mkoa au wilaya inayojielewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.