Recent content by Intuition

  1. I

    JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani laikosoa ripoti ya Chade, lataka Samia afikishwe ICC

    Nyie endeleeni kumponza mwenzenu kwa vijimaneno kama hivi, watakapoanza kumtafuta hamtakuwepo kumsaidia.Msaidieni sasa
  2. I

    JamiiForums Tanzania Najuta kujiunga na jeshi la polisi

    Rushwa kutoka kwa hawa wabongo wenye masimango na hali ngumu ya maisha kwa walio wengi, unamtafutia mwenzako laana
  3. I

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Kuna watu huko serikalini hawana akili kabisa, ndo maana Nchimbi kasema " TUPAMBANIE KATIBA MPYA" ameishaanza kuchoka na low IQs za baadhi ya watendaji wenye dhamana kubwa. Nchimbi naye aangalie asijepewa case ya kuhamasisha vurugu na uhaini maana nahisi kuna ka-serikali ndani ya serikali.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Heche, dawa ya tuhuma sio wanawake kukufariji ni kujibu tuhuma na kupisha uchunguzi

    Kama ni hivyo nyinyi CCM na tuhuma kibao za ufisadi, ubadhirifu wa mali za uma, uuaji, utekaji,wizi n.k mngekua mmeishapisha kitambo sana.
  5. I

    JamiiForums Tanzania Pesa haihitaji kelele, ukiona mtu anajitapa, mpuuzie. ‘GSM wa Katoro’ kafanya matusi aseee

    Kila mtu atumie pesa zake atakavyo.Ingawa pesa za hao jamaa wa madini, wavuvi n.k hazihitaji akili nyingi na wao mambo yao yako hivyo hivyo. Sema waafrika tuna matatizo walai,hao jamaa hata Mwanza pale hawana maji ya uhakika, si wawekeze huko.Si wajenge waviwanja sasa kama haya ya world cup...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Huu mtego, chai ya moto hii. Kwamba mtu mzima utongozwe ukasirike kama nyati??
  7. I

    JamiiForums Tanzania JWTZ: Wasioitakia mema nchi yetu wanahamasisha kufanya vurugu, hatutasita kuchukua hatua

    Jeshi la siasa tu hilo.Wanasema et wanajukumu la kulinda wananchi kwa mujibu wa katiba, hao wanaotekwa na kupotezwa wao wako kimya na mabakamabaka yao sio raia??Tz hakuna mashujaa wa haki tena, vyombo vyote ni ujanjaujanja na siasa tu.
  8. I

    JamiiForums Tanzania Gawio la Bilioni 61 za NIDA: Mteja wa Mwisho ni Wewe! Taarifa zako Binafsi zinapogeuzwa kitegauchumi na Serikali

    Kwa hiyo na polisi na hizi fine zao za barabarani na makusanyo mengine kibao nao siku moja zikiwapanda tutaona wanaenda kutoa GAWIO?Hawa NIDA wanafanya huduma ama biashara?? Nafikiri kama vipi, serikali ifanye kushindanisha taasisi zinakusanya ukwasi wa kutosha, mwisho wa siku yote ni mapato yao
  9. I

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Chuo Kikuu Mzumbe wamtaja Kafulila kama mtaalamu mwenye uzoefu zaidi na usimamizi wa miradi ya PPP

    Hiyo mihadhara hua ina lengo gani hasa??Au kupiga porojo tu na kupoteza muda.Kwamba mnaandaa mihadhara kuongea PPP?Hiyo PPP inahitaji elimu gani ya kutisha jamani mpaka et mtu awe mbobezi.Maendeleo hayana siasa, tupigeni kazi kwa vitendo, tuko nyuma sana, maneno [mihadhara] yawe machache...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Hamna ushujaa hapo, sex ni moja ya sifa za kiumbe hai [mamalia].Na kuukana ubinadamu wako na mwili wako.Sex inaepukwa kama kuna sababu za msingi mfano magonjwa, mwenza hajapatikana, kujitoa sadaka - mapadre, masista n.k. Kinyume na hapo ni kujitesa tu kwa mtu aliyekamilika.
  11. I

    JamiiForums Tanzania Msinielewe vibaya, uhu sio udini ILA wakatoliki tumepwaya sana, mapdri mmekuwaje?lissu alipigwa risasi tukanyamaza,kitima mpo kimnya mnasubilia wauwe?

    Kiasi huko sahihi, kanisani mahubiri mengi ni nadharia sana.Viongozi wa dini hawakanyi dhambi zilizonjenje; Yesu alikua anapiga spana bila kupindisha, Yohane mbatizaji alikua anapiga spana bila woga na ndo maana waliuwa wote wale.Kuna manabii kibao walikuwa wanaongea ukweli mbele ya watawala...
  12. I

    JamiiForums Tanzania Amri ya kutaka nyumba za kulala Wageni kupokea wenye namba ya NIDA tu itadhoofisha sana Sekta hiyo binafsi na kuleta usumbufu mkubwa sana kwa Raia

    Walisema humu, ipo siku tutaguswa wote, naona milio imeanza na bado
  13. I

    JamiiForums Tanzania Wabunge Wote Wangeruhusiwa kuendelea Kupewa vibali kufanya Mikutano ya Hadhara Majimboni Mwao ili kupokea kero za Wapiga Kura wao na Kutoa Mrejesho

    Hatutaki matumaini, tunataka facts na ukweli na matokeo.CCM mmevimba mmeshiba mnapasuka tu sasa hivi, msipoendana na hali ya ulimwengu wa sasa mtatapatapa sana
  14. I

    JamiiForums Tanzania Namuomba Rais Samia lau awape ndugu wa Polepole, Mdude, na wengine waliouawa miili yao

    Inasikitisha sana:Halafu naonaga et wapo misikiti na makanisani wamenyoosha mikono wanapiga sala, unajua binadamu tu wapumbavu sana.Unaendaje msikitini au kanisani wakati kuna watoto wa watu wamepotea au kufa chini yako na huna unachofanya au kusema, watu wamepotezwa kikatili kabisa lkn viongozi...
  15. I

    JamiiForums Tanzania Ili kosa litawawafanya wachaga/wamasai waishio Arusha majuto milele,yaani Makonda/Bashite ndo MBUNGE WENU?

    Kwa hiyo mmemchagua Makonda ili awape maendeleo??Hata usukumani kwao kashindwa kutoboa, kuna wanaume wa shoka kule, kakimbilia Kigamboni watu wakamkimbiza tena wanaccm wenzake, wakaangalia wanyongewanyonge kaibukia Arusha. Nafikiri lengo la mtoa mada ni hivi hakuna mkoa au wilaya inayojielewa...
Back
Top Bottom