Recent content by Intuition

  1. I

    JamiiForums Tanzania Good morning, Samia haters!!!! Tanzania plays U-17 afcon final guys!!

    Hakuna mtu anamchukia Samia.Watu wanaangalia maslahi ya Taifa, Samia hakuwepo, sasa yupo na ataondoka zake lkn Tz ipo na itakuwepo
  2. I

    JamiiForums Tanzania IGP Mahita: Said Mwema alipewa u-IGP kwa figisu

    Sema mzee nimempenda, kanyooka kama ruler. Amesema kabisa matumizi ya risasi za moto kwa raia hapana, ni kuwapiga mabomu ya kuwapiga risasi za rubber, wataanguka huko n.k
  3. I

    JamiiForums Tanzania Makonda amteua Manara kuwa Msemaji wa Timu za Taifa

    Team za Taifa zote, mpira wa miguu, kikapu, netball, mpira wa mchangani etc ama??
  4. I

    JamiiForums Tanzania Baada ya Marekani, Mataifa ya Ulaya na Canada wanafuata

    Nimesikiliza interview ya Mahita jana IGP mstaafu.Kuna maoni au swali aliulizwa kuhusu utendaji wa sasa wa polisi na nini angekisimamia kwa mazingira ya sasa.Majibu yake: 1. Askari wafuate utaratibu wa sheria na PGO yao. 2.Wasitumike kisiasa na wasipokee order kutoka kwa wanasiasa, akasema...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Usifuge Nguruwe bila Kusoma Uzi huu

    Kwa ulivyoandika hapo mbona kama wote wana sifa zaidi ya mwengine, it means mfugaji anaweza chagua yoyote tu.
  6. I

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha chama kuongozwa na mtu ambaye yupo gerezani kwa makosa ya uhaini ni dhahiri kwamba ubongo wa Mwafrika bado upo analogy

    Mlipiga kura kwa damu ya watu na mauwaji au sio.Nyie mijamaa mtakua na mwisho mbaya sana.Hata hizi post zenu zinaonyesha msivyokua na aibu, utu n.k
  7. I

    JamiiForums Tanzania Kutakuwa na kilio na kusaga meno Kama Donald Trump atasaini Muswada wa Ted Cruz

    CCM should be labelled as a Terrorist organization.Na serikali yao TERRORIST Government. Hawa jamaa wameumiza watu wengi na wanajiona kama miungu watu.
  8. I

    JamiiForums Tanzania Kate, mke wa Ferdinand aonja Kaa la moto huko Instagram

    Nyie siku zenu zinahesabika.Sikio la kufa halisikii dawa. Sema pia ni kama hamna akili, hivi dunia ya sasa kweli ni ya kukomaa na utekaji wa kijingq kabisa, tena mnatumia sijui wavuta bangi wale, na mbaya zaidi hampoi yaani.Yaani mama Samia mnamtia katika matatizo makubwa sana, hata kua na uzee...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Arsenal Kushinda Ubingwa ni dalili kuwa EPL imeshuka viwango

    Taja hivyo viwango sasa
  10. I

    JamiiForums Tanzania Viongozi mliopo madarakani mjiuilize Kwa nini Mwal Nyerere pamoja na kutawala akiwa na hii katiba mbovu isiyofaa hakunyanyasa raia?

    Bora vijiji vya ujamaa kuliko utekaji na uuaji wa raia nje nje
  11. I

    JamiiForums Tanzania Je, ulijua kati ya Benki 5 kubwa duniani 4 ni za China? Benki za Marekani zikifuata nyuma ya China

    Hayo mabank ya China ni ya serikali, hata ukuaji wake ni kama artificial tu, meaning serikali inamwaga mitaji na mipesa huko na market favours nyingi sana, ndo maana unakuta yanajitutumua.Mabank ya US, Europe, mengi private, ukiona liko pale juu ujue limefight, limegrow taratibu, kuna uhalisia...
  12. I

    JamiiForums Tanzania Kwa Ufupi: Jitihada za Kuikwepa ICC zinaendelea....

    Hatuna serikali Tz, kuna kikundi cha watu, wabinafsi, hawajali mambo ya msingi, wakatili
  13. I

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Barua yetu kwa CHADEMA inasema kusimamisha chama kwa muda, sio kufuta

    Siku CCM wakitoka madarakani, italazima kuunda mahakama kama zile za GACHACHA, waovu ni wengi, ni mwendo wa publi hearing kwenye mitaa na masoko
  14. I

    JamiiForums Tanzania Nchi tatu za Ulaya zinaongozwa na marais mashoga; hatuna cha kushauriwa nao

    Mtu anafanya ushoga juu ya mwili wake mwenyewe, sisi inatuhusu nini.Lkn wauaji, wezi, wahuni, wala rushwa, wapigaji ndo mambo yanayotuhusu.
Back
Top Bottom