Wewe ni nani kwenye vyombo vya usalama hadi huyo mtu aliyekuwa na huo mkanda akupe wewe badala ya kuupeleka moja kwa moja polisi?? Au unafanya biashara ya kununua mikanda yenye mipango ya mauaji?? Tuambie mkuu
Fukuza hao virus aina ya Trojan wanaotaka kuharibu chama siku zote vijana ndo walinzi wa Chama, BAVICHA onesheni uimara wenu kwa kuwa 'purge' hao mamluki!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.