Recent content by Intellectual Savior

  1. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi ni mwalimu wa shahada kutoka mwanza wilaya ya ukerewe nahitaji mwalimu wa kubadilishana nae kutoka sumbawanga na anahitaji kuja mwanza wilaya ya ukerewe. Tuwasiliane kwa namba hizi hapa 0753129908/ 0758966940
  2. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Vijana, msifanye makosa kama niliyofanya. Kujiunga na CHADEMA ni sawa na kucheza karata tatu!

    Hivi kumbe hata UK kunaviroba????? "You say to people 'be real' and 'say what you mean,' but in reality you're worse and you're the one who needs advice".
  3. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Kamata bomba la gari

    Utofauti hupo hiyo ni ya mwaka 1997 yangu 2006, ya kwako imetembelewa 82,000km yangu 68,000km, grama ya kuitoa hiyo yako bandarini aisee utaikimbia gari yako
  4. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Kamata bomba la gari

    Kamata bomba la gari kutoka Nissan aina ya ELGRAND ya mwaka 2006 yenye uwezo wa kubeba watu wa nane(8) kwa USD 10,599 FOB. Pia ina sifa zifuatazo; Air Conditioner, Power Steering, Alloy Wheel, Power Windows, Central Lock, Power Mirrors, Rear Window Defroster, Radio, CD Player, GPS...
  5. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Gari katika hali nzuri inauzwa

    Ni wakati wako wa kuendesha gari zuri kutoka Hyundai aina ya Hyundai TB ya mwaka 2006 ina 1390cckwa USD 999 FOB au USD 2500 CIF ikiwa pamoja na ukaguzi. Tembelea website yetu www.japancarexporter.org, au nitafute kwa namba hii 0753369921 au tumia email hii samsonmichael72@yahoo.com.
  6. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Polisi wamsaka mbunge CHADEMA kwa kufunga ofisi

    Wamezoea kula pesa za wanyonge ndani ya hiyo ofisi, nashangaa hao askari wanataka waendelee kukaa humo wakati hamna kazi wanayoifanya.
  7. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Jipatie Nissan X-Trail

    Mjanga unaweza kupata gari kwa utaratibu unaoutaka unaweza kuagiza kiwandani kwa hiyo bei au ukanunua used kwa hiyo bei chaguo ni lako ndugu yangu.
  8. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Jipatie Nissan X-Trail

    mpitagwa kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake yapo ya bei nafuu ambayo yatakufaa.
  9. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Jipatie Nissan X-Trail

    Nashukuru kwa kuonesha nia, endelea kukusanya utafanikiwa.
  10. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Jipatie Nissan X-Trail

    Je wajua kuwa unaweza kujipatia X-TRAIL iliyotengenezwa na Nisan, ya mwaka 2006 yenye engine size 2000cc, yenye kubeba watu watano na yenye milango mitano, imetembelewa 72,280km tu, kwa 11,800 USD ikiwa ni pamoja na usafirishaji mpaka bandarini lakini bado unaweza pata punguzo kidogo. hiko...
  11. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Jipatie gari aina ya raum kwa bei nafuu

    Hii hapa IMPREZZA Subaru ya mwaka 2001 kwa CIF Price 2300 USD, bado tunaweza kujadiliana.
  12. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Jipatie gari aina ya raum kwa bei nafuu

    Hii hapa IMPREZZA Subaru ya mwaka 2001 kwa CIF Price 2300 USD, bado tunaweza kujadiliana.
  13. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Jipatie gari aina ya raum kwa bei nafuu

    usiogope tembelea website yetu tafuta gari unayoitaka kisha tutaelewana tu usiwe na shaka kabisa.
  14. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Jipatie gari aina ya raum kwa bei nafuu

    Nashukuru hiyo ni model code, lakini si nimeisha eleza kwenye Tangazo pale juu.
  15. Intellectual Savior

    JamiiForums Tanzania Jipatie gari aina ya raum kwa bei nafuu

    Model: CBA-NCZ20-AHPXK Engine: 1NZ-FE Frame no: NCZ20-0115592 Color Trim Plant 3P0 FA40 N11 Trans./axle: U340E- 01A
Back
Top Bottom