Recent content by Intel5500

  1. I

    GE2020 NCCR-Mageuzi kuleta mfumo mpya wa elimu

    Mbona hakuna kilichobadirika sasa?......
  2. I

    GE2020 Lissu umati usikudanganye, wengi hawajajiandikisha

    Lissu amenifurahisha sana na ile hoja yake ya elimu. to be honest sijawahi dhani kuna muafrika angewaza vile kuhusu elimu hivyo sina budi kumpa kura yangu. Change my mind....
  3. I

    GE2020 Bagamoyo msirudie mlichokifanya kwa CHADEMA leo

    Wewe unaweza ukatoka kazini nakwenda kumsikiliza mwana siasa?.... Mwambie apost youtube tutamuona pia.
  4. I

    Je, nini kifanyike kuboresha mipango miji ya Manzese? Napendekeza walipwe fidia na watimuliwe wote

    Kwanza wajenge majengo ambayo yatatumika kwa muda na hizo familia za hao wakazi.....baada ya kukamilika kwa ujenzi warudishwe kwenye makazi yao mapya yaliyopangwa....
  5. I

    Wakati wapigania uhuru na ukombozi wa Afrika waliwapinga wazungu, wapinzani wa Tanzania wanasema eti tusiwabeze wazungu maana wanatulisha

    Hajaipata bali kanunua..... tofautisha kununua na kupata.....ukinunua ni mali yako.....
  6. I

    Rais Magufuli azindua Kanisa la Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino, Dodoma. Achangisha fedha kanisani kuchangia ujenzi wa Msikiti

    Katika mambo yanayorudisha nyuma afrika na Tanzania yetu ni ubaguzi wa kidini...... magufuli ana nia njema ya kuondoa ubaguzi wa kidini nchini ili tusonge mbele kitaifa....
  7. I

    Tundu Lissu namfananisha na Profesa wa kwenye La Casa De Papel

    lissu akipita mods mnipige ban ya maisha......
  8. I

    GE2020 Tundu Lissu usijidanganye; Watanzania siyo wajinga kama wananchi wa Belarus wanaoshinikizwa na mabeberu wamtoe Rais wao madarakani

    Hahaha Bila shaka hiyo siku unaiogopa kama kiama subiri uone utakavyolia kwa uchungu......
  9. I

    Tundu Lissu namfananisha na Profesa wa kwenye La Casa De Papel

    Upo nyuma yake wewe peke yako.....lissu akipita JF inipige ban ya maisha....
Back
Top Bottom