Recent content by Intaplex

  1. I

    Coronavirus: Ubalozi wa Uingereza wasema Tanzania ni "Red list Country"

    Hua sikubaliani na mambo mengi ktk utawala huu ila kwa hili la Corona kila nchi ifuate utaratibu wake kulingana na hali halisi tusipangiwe Cha kufanya
  2. I

    Zacharia Isaay (Mbunge Mbulu): Serikali iache kigugumizi ieleze wazi kuhusu ugonjwa wa kupumua unaomaliza watu wa Mbulu

    Haijulikani ni kwa nn serikali haitaki kukubali kwamba kuna tatizo.
  3. I

    Pump ya Nissan patrol

    Wakuu nimefanya service ya injectors pump na nozzel za Nissan patrol Y60 lakini bado nimeshangaa gari ina mlio usio wa kawaida wakuu nisaidien nini cha kufanya.
  4. I

    Nachohofia TBS ukaguzi wa magari ni mambo ya kutoa kitu kidogo au connections ili gari isikaguliwe miezi au kuambiwa ni bovu uingie gharama

    Kila siku serikali inaongeza ugumu katika uagizaji wa magari ama kwa kuongeza Kodi au kuleta complication tu zitakazo ongeza urasimu usio na sababu ila lengo Ni kuwaumiza raia tu hamna kingine
  5. I

    Nissan patrol

    Ni y 60 mkuu
  6. I

    Nissan patrol

    Asante sana mkuu
  7. I

    Nissan patrol

    Msaada ndugu zangu gari yangu Nissan patrol engine td 42 inasumbua sana kuwaka nilipeleka pump service ila bado gar haitaki kuwaka. Wap naweza pata fundi mzuri kwa Sasa nipo dar
  8. I

    Michango kuwanusuru viongozi: CHADEMA imekubali hatia?

    Je Kama mahakama ya juu ikitengua hukumu wakati wao wameshalipa fain watarudishiwa pesa waliyotoa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. I

    TAKUKURU: Uchunguzi sakata la Kangi Lugola na wenzie umekamilika. Jalada linapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka (DPP)

    Uchunguzi ni had watumwe na rais, ingekua hawajutumwa wasingechunguza. Hii taasisi haifanyi kaz kwa weled na inatumika kisiasa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. I

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Lisu alishambuliwa kwa risasi ukiwa waziri ulichukua hatua gani? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. I

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Kipindi upo waziri wa mambo ya ndani ndo kipindi ambacho Lissu alipigwa risasi Sent using Jamii Forums mobile app
  12. I

    Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    Napanda dau 4.5 Kama hutojali tufanye biashara Sent using Jamii Forums mobile app
  13. I

    Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    Nina 4 m cash Kama upo interested njoo inbox Sent using Jamii Forums mobile app
  14. I

    Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    Nina cash 6 m ukiwa tiari tufanye biashara njoo in box Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom