Recent content by instagram

  1. instagram

    Chalamila: Wakubwa wa madawa ya kulevya tumewakamata, hatuwataji

    Kwa lipi sasa mi si nimeripoti tu
  2. instagram

    Chalamila: Wakubwa wa madawa ya kulevya tumewakamata, hatuwataji

    Mimi huwa siangaliagi narcos bana wewe pekeyako ndo unawajua kina Escobar, El. Chapo, black widow....
  3. instagram

    Chalamila: Wakubwa wa madawa ya kulevya tumewakamata, hatuwataji

    Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa...
  4. instagram

    Kitila Mkumbo; NHC, NSSF, TBA, Watumishi Housing vipi?

    Unapenda monopoly eti? Ni kama umependa sana Tanesco pekee ndo iweke umeme nchi nzima na ubabaishaji wake wote. Ni vizuri kuwe na competition ili kuboresha mazingira ya ufanisi.
  5. instagram

    Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

    Umeona gari za serikali za india. Alafu kuna mtu atakuja kukupanga eti viongozi wanasafiri sana sijui umbali wakati India ni nchi kubwa zaid viongozi wao wanatembelea gàri za kawaida tena made in India Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  6. instagram

    Wanawake hawatunzi siri, hata kama ni mama yako usimwambie siri zako

    Watu mna siri utafikiri mnaliwa traako kimya kimya sasa siri gani ya kumficha hadi mamaako mi sina siri kwa maza labda kama shoga
  7. instagram

    Haya madirisha ya chuma kwenye nyumba ya kaburi la Hayati yana kazi gani?

    Unajua maana ya raisi kweli? Unaweza tu mtu binafsi kuamua ?
  8. instagram

    Haya madirisha ya chuma kwenye nyumba ya kaburi la Hayati yana kazi gani?

    Kwa akili yako unazani magu ndo msomi kuliko nchi nzima mbona saanane alihoji phd feki akapotea? Binafsi ninaelimu zaidi ya babaako
  9. instagram

    Haya madirisha ya chuma kwenye nyumba ya kaburi la Hayati yana kazi gani?

    Wewe unaweza kumjengea babako ghorofa ila kwa kiongozi wa uma ngazi ya raisi inaleta impression mbaya sana kwa taifa kwa watu wanaotutazama wanaona kama ulimbukeni wa kujikweza katikati ya lindi la umaskini hakuna tofauti na dikteta Mobutu
  10. instagram

    Haya madirisha ya chuma kwenye nyumba ya kaburi la Hayati yana kazi gani?

    Kamjengee babaako hizo pyramid sisi hapa hatuna wafalme
  11. instagram

    Haya madirisha ya chuma kwenye nyumba ya kaburi la Hayati yana kazi gani?

    Sawa endelea kuwatukuza miungu watu wako
  12. instagram

    Haya madirisha ya chuma kwenye nyumba ya kaburi la Hayati yana kazi gani?

    Bado hajazikwa hapo yupo chini ya kanisa kwenye mashelfu huko.
  13. instagram

    Haya madirisha ya chuma kwenye nyumba ya kaburi la Hayati yana kazi gani?

    Hawajazikwa bado wako tu chini ya kanisa kwenye vault
  14. instagram

    Haya madirisha ya chuma kwenye nyumba ya kaburi la Hayati yana kazi gani?

    Haya ndiyo makaburi rasmi ya kifalme mkuu
  15. instagram

    Haya madirisha ya chuma kwenye nyumba ya kaburi la Hayati yana kazi gani?

    Sasa wewe hii ni nchi ya kifalme mkuu? Na wale wana utamaduni wao wa miaka elfu wafalme wanawatupia chini ya kanisa huko kwenye mashelfu(vault). Hakuna cha AC wala taa. Na malkia hajazikwa bado yuko kwenye vault na members wengine 25 wa royal family hadi siku watakapozikwa kwenye makaburi rasmi
Back
Top Bottom