Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa...
Unapenda monopoly eti? Ni kama umependa sana Tanesco pekee ndo iweke umeme nchi nzima na ubabaishaji wake wote. Ni vizuri kuwe na competition ili kuboresha mazingira ya ufanisi.
Umeona gari za serikali za india. Alafu kuna mtu atakuja kukupanga eti viongozi wanasafiri sana sijui umbali wakati India ni nchi kubwa zaid viongozi wao wanatembelea gàri za kawaida tena made in India
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Wewe unaweza kumjengea babako ghorofa ila kwa kiongozi wa uma ngazi ya raisi inaleta impression mbaya sana kwa taifa kwa watu wanaotutazama wanaona kama ulimbukeni wa kujikweza katikati ya lindi la umaskini hakuna tofauti na dikteta Mobutu
Sasa wewe hii ni nchi ya kifalme mkuu? Na wale wana utamaduni wao wa miaka elfu wafalme wanawatupia chini ya kanisa huko kwenye mashelfu(vault). Hakuna cha AC wala taa. Na malkia hajazikwa bado yuko kwenye vault na members wengine 25 wa royal family hadi siku watakapozikwa kwenye makaburi rasmi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.