Hapa nanyi mmezidisha chumvi. Sasa hili la Rwanda limetoka wapi?. Yaani umejitungia uongo na kuamini kuwa ametokea Rwanda?. Hivi kweli kuna watu humu watakuamini?. Mbona ni uongo tena ni uongo mweupe sana.
Tuna shangaa sana, watu kuungana na kuongelea mtu mmoja tu. Wao wenyewe walishasema kuwa hawata muandika, ila bado wanatokwa mapovu kila kukicha. Sijui nyuma ya pazia kuna nini?.
Tungependa Mh. Makonda angepewa mamlaka yote hata yasiofuata taratibu kumaliza kabisa masuala ya madawa ya kulevya...
Sasa tumia muda wako vema kupinga madawa ya kulevya na sio issue ya mtu mmoja. Yaani suala na mtu mmoja tu ndio linafanya nchi ikose amani?.
Tazama sasa wauza unga wamepata mwanya wa kufanya yao. Ulikuwa waziri wa Vijana ambao ndio wahadhirika wa madawa.
Hata hivyo bado una nafasi ya kupinga...
Ni wazo jema kutokuandika habari za Makonda, ni muda muhafaka wa kuandika habari za wanaochafua hili Taifa ambalo linaelekea kuwa na umaarufu duniani kwa madawa ya kulevya.
Madawa ya kulevya yana madhara makubwa sana kwa jamii yetu. Tushikamane kwa pamoja kupiga vita hili tatizo.
MUNGU...
Jambo la muhimu kwa Taifa hili ambalo lingetakiwa kuongelewa na kulitendea kazi ni la madawa ya kulevya na sio Makonda au Nape.
Ni vema tukafunga huu mjadala na kuanza ukurasa mpya wa changamoto na juhudi za kujenga Taifa.
Mbona kuna mengi tu wanayoendelea mfano mzuri ujenzi wa mabarabara...
Yaani mimi kusema tu ukweli kuwa TLS inaenda kuwa CHADEMA, ni kosa? na kushambuliwa kama nimetukana na hali ni kweli.
Sasa labda niwafurahishe kwa kusema kuwa TLS inakwenda kuwa CCM. Sijui na hilo pia litawaudhi?
Hii niaonyesha kuwa mnachukiana sana nyie wanavyama vya siasa. Tunawaombea...
Wazo lako ni zuri sana. Wana siasa wanachukiana sana, tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida. Angalia wanavyoshambuliana majukwaani, wanavyopigana kwa maneno na vitendo, wanavyokamatana. Yaani hawapendani kabisa ni kama maadui. Vyama vyoote yaani tawala na pinzani vinarushiana madongo, na sisi...
Hapo kwenye wekundu, ndipo ulipojijibu sahihi, na ukamalizia kuwa kushikwa na Lisu (CHADEMA).... unajieleza kama ninavyofikiria.
Sasa hapo kunautofauti gani na nilivyojieleza? Mnatoa mapovu ya bure tu. Mimi siko CCM wala CHADEMA bali ni hasira zenu tu zinawasumbua. Yaani mlitaka niseme kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.