Kwani wewe unatoka chombo gani cha kimataifa kutujuza hili..... Au umeandika kutoka source ,chombo au mtandao gani. Bila kuwa na data sahihi. Utashitakiwa
Wakati mwingine wanayozungunza viongozi wa dini wanakuwa wametumwa na ROHO MTAKATIFU. Kwa wakati mwingine tuwe waangalifu tusibishane na sauti ya MUNGU. Tutaangamia kwa kukosa maarifa
Jamani hili si Jambo la kishabiki. Kudhani na Kuaamua kupiga risasi siafiki. Ningesikia tumewakamata kwa kuzani Ni wauaji. Hapo sawa. What if ikaja kudhibitika wauaji Ni watu wengine? Kutatua tatizo lazima utafute root causes yake na Ni through kushirikia jamii ya hapo pamoja kuhoji wanaodhani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.