Hi,
Nina mamybaby wangu ambae kutokana na malengo yetu niliamua kumuweka kipandikizi ili kuepuka mimba zisizotarajiwa.
Sasa tatizo baada ya kumuweka tu yaani siku zake badala ya siku tatu sasa zinavuja kila siku na hazioneshi dalili ya kuacha.
Je, ni tatizo au ni mabadiliko?
NB: Sasa ni siku...
Mimi nilimkopea baada ya mda akasema ana hamu na mm akawa karibu yangu mara akataka aje kwang nikamruhusu cha ajabu akakaa hadi giza mpaka tukado nilivyokuja mdai akaruka m.100 eti ulikula na nani juzi?Nikachoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.