Nachokumbuka, baada ya TEC ,kutoa maoni, Kuna kikundi kilipandikiwa na chama tawala, kikijiita watetezi wa uislamu, kikasema wanampinga kwa kuwa raisi ni muislamu, pia kwa kuwa dp world ni waarabu pia waislamu, ndipo kauli ya Lema , kwenye mikutano Fulani iiaibuka hasa pale mbagala,
Pia Kama...