Dah! nimefurahi sana kukutana na jukwaa hili pamoja na elimu nzuri ya ndugu Njiwa.
Binafsi nimemaliza mwaka wa kwanza mwezi huu mwanzoni na nilipata dondoo hizi kipindi niko semester ya kwanza japo sio kwa kina sana, nilijitahidi kujua hasa kuhusu hili swala ilanilikosa msaada mpaka leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.