Umesoma uchumi buda GDP ya nchi ukijua iloubwa sana kaaa t kfautou na nigeria yettokana na mamb meng kwaiyo atuwez kufanana kwanza population fulani inakua ku
Afande rama alikua nani kwani. Na zile ndoa za zanziba sio waislam acha zako. Ushoga auna dini mzeee kaa ukijua ilo ni janga la dunia nzima mnapinga wakat kote duniani umejaa ushoga ni swala ambalo lipo kila maala na. Amna dini ishawai kulea uo upuuzi
Usiangalie vya wenzako kuwa wamepata tayari ujui wametumia njia ipi isitoshe bado we nikijana. Ni kuangalia unakosea wap unarud upya. We elewa ambao tunajitafuta tupo wengi sana. Na kujipata ni juudi zako na kuomba Mungu
Mtoa post ana yake ya moyoni na hiii ni kwasababu ya chuki binafsi na yote anayo ongelea ni porojo tuuu. Kiualisia ushoga umetapaka dunia nzima akuna kusema labla ni sehem flani wala nni ukirud ata tanzania yetu maadili yanaporomoka kutkana na kutokua na nguvu ya kukemea ukisema israel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.