Asiye na akili atamponda trump lakini wenye akili watamuunga mkono. Mtu unakurupuka kukosoa trump wakati hata siku moja hujawahi kuumiza akili hata kwa dakika kumi kufikili namna ya kutatua mgogoro kati ya islaeli na parestina wenzenu wanagikili kila siku wamegundua pa kuanzia nyie mnawaponda...
Moto wa mapanga na risasi na vitisho toka ukabda fulani ndio sababu. Kwani hata tumeambiwa atakuja mtu mwenye chapa atakuambia unamkubali kristo au mimi ukisema kristo unakatwa upanga ila ukimkubali anakwacha huru. Sasa tazama mwenyewe hivi karibuni kunamwanasiasa kaambiwa usiporudi ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.