Politics started religion in order to convince people that what belongs to them is saved and secured in Heaven.
Kwa hiyo wajanja wanakula hela za wajinga kwa namna hii.
When all people shall be wise in divine terms, Those false prophets and bogus religious preachers who feed on the ignorance...
Ni kweli dini zote lazima ziwe controlled kwa sheria kali. Maana bila hivyo Kila mtu atataka dini yake iwe ndio katiba ya kuongoza nchi.
Ukiangalia nchi zinazo ongozwa kwa sheria za kidini kama Iran, Afghanistan, Saudi Arabia n.k Raia wake wengi hawana uhuru na wanateseka sana.
Cristiano...
Mkuu,
Ukianza kudai dini yako ya ukristo ina ukweli na mwislamu atakuja hapa kudai dini yake ina ukweli kuliko ya kwako.
Na hapa ndipo vita na mauaji ya kidini huanzia. Kila mtu hudai dini yake ndio ya kweli.
Sasa universal declaration of human rights walitambua hilo mapema kabisa, Kwa...
Dini lazima ziwe controlled na sheria maana bila hivyo, Kila mtu atataka dini yake ndio iwe katiba ya kuongoza nchi nzima.
Kama wafanyavyo Taliban kule Afghanistan, Mamia ya raia wanateseka kwa sababu ya falsafa uchwara za kidini.
Eti mabinti wasisome na kwenda shule wabaki nyumbani wakisali...
Hakuna uhusiano wa ukristo na Amani ya dunia...
Labda kama unataka kutetea dini yako.
Amani ya dunia imeletwa na sheria za haki za kibinadamu zilizo piganiwa na kutetewa mara nyingi sana na wanaharakati.
Dini zimeleta mpasuko mkubwa na utengano mkubwa wa watu katika jamii, Kila mtu akidai na...
Nakwambia hivi, swali langu halina makosa yoyote yale.
Shetani ni nini?
Ukishaweka neno "nani" tayari unajua kitu hicho ni kiumbe fulani na si kitu fulani.
Wapi nimeandika uongo?
Nilikwambia uthibitishe shetani ni kitu gani?
Unaanza kuunda maswali yenye mrengo wa majibu unayotaka kuyasikia.
Eleza na thibitisha shetani ni kitu gani?
Na ulijuaje yupo?
Sio kuanza kuleta stori uchwara za Quran zisizo na uthibitisho wowote ule sawa na hekaya za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.