Habari za Leo,
Anahitajika dereva wa pikipiki kwa ajili ya kufanya kazi za mauzo, delivery na kutanua wigo wa masoko mapya.
Tunajihusisha na uuzaji wa Viungo (Organic Spices).
Vigezo.
1. Awe na leseni ya kuendesha pikipiki, awe anajua kuendesha pikipiki kwa uzoefu na umakini.
2. Elimu kuanzia...
Habari za Leo wanafamilia?
Tunauza Samaki wabichi aina ya Kumba/Sato/Tilapia kutoka Rufiji kwa bei Tsh 10,000/ kwa kilo. Samaki hawa ni wakubwa wa size ya juu na kati ambapo uzito wao huwa gram 200 - 400 kwa samaki mmoja. Tunapokea oda za watu wa majumbani na wa biashara.
Tunapatikana Mnazi...
Habari za Leo wanafamilia?
Tunauza Samaki wabichi aina ya Kumba/Sato/Tilapia kutoka Rufiji kwa bei Tsh 10,000/ kwa kilo. Samaki hawa ni wakubwa wa size ya juu na kati ambapo uzito wao huwa gram 200 - 400 kwa samaki mmoja. Tunapokea oda za watu wa majumbani na wa biashara.
Tunapatikana Mnazi...
🤔 HIVI KUROILER ni NINI?
Huenda kutokana na ugeni wa neno hili bado kukawa na watu ambao hawajajua vizuri ni nini kinachomaanishwa na neno hili.
Neno "KUROILER" ni jina lilolopewa kwa kuku walioboreshwa huko nchini India miaka ya 90 hivi.Kuku hawa walipata na wanaendelea kupata jina kubwa zaidi...
Habari za Leo!
Nnawauza Kuku aina ya Sasso na Kroiler, wana Umri wa Miezi 4 na 5. Wapo Majogoo na Majike wanaoanza kutaga. Majogoo sh Elfu 11 kwa Mmoja na Majike ni Elfu 13.
Ukichukua majogoo kuanzia wawili ni sh Elfu 10 kwa Mmoja na Majike kuanzia 3 ni Elfu 12. Wapo Tandika Magorofani...
Je Unasumbuliwa na Matatizo ya Vinundu vya Miguu? Vidole Vilivyobanana au Kupinda? Una Maumivu ya Nyayo, Ankle au Miguu Iliyokosa Uvungu? Tunazo BIDHAA za KUKUTIBU.
Jipatie Bidhaa zako sasa
Unaweza wasiliana nami kwa Whatsapp/Text/Call 0784 645 900
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.