Recent content by infinite_

  1. I

    Ushauri wa bure kwa Vyama vya Siasa na rushwa iliyopo kwenye chaguzi zao

    Kutokana na ukweli usiofichika ndani ya nchi ya Tanzania kwamba, Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni miongoni mwa Chama Kikubwa cha Siasa na pia ndio Chama kilichoshika madaraka mpaka sasa na ambacho kinatabiriwa kwa asilimia kubwa kuendelea kushika madaraka na kuunda Serikali kwa mara nyingine tena...
  2. I

    Ushauri wa bure kwa Warumi waliokatwa mikia na wengineo

    👆 Naona yametimia...hadithi inaendelea...Mengi yaja... :)
  3. I

    Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

    Alichoandika muandishi uenda ikawa moja kwa moja sio / ndio sahihi, inategemea na mtazamo wako binafsi (perception) kama ukiamua kuacha kuutazama ukweli halisi uliopo... Alichofanya muandishi ni kitu kinachoitwa Superforecasting, kitendo cha kutumia ujuzi wa jambo fulani (knowledge &...
  4. I

    Ushauri wa bure kwa Warumi waliokatwa mikia na wengineo

    ...Soma polepole, tulia alafu tumia akili kutafakari kupata utambuzi kwa kile kilichoandikwa. ...haki anayo na ndio katiba ya chama chao inasema hivyo sio?? tatizo ni taratibu zao zilizopo na Kinyang'anyiro walichonacho maana wahenga wanasema a custom is like a law (Kawaida ni kama sheria)...na...
  5. I

    Ushauri wa bure kwa Warumi waliokatwa mikia na wengineo

    Sinunuliwi, Sijawahi kununuliwa na mtu yoyote wala sina chama chochote cha siasa wala sina upande wowote, hapa nilichofanya ni kufanya Calculations na kuona possible outcomes then kushauri pande zote mbili...Na hapo bado sijaongelea possible outcomes za kuitwa kwenye kamati za Udhibiti na...
  6. I

    Ushauri wa bure kwa Warumi waliokatwa mikia na wengineo

    Good to know...Ila Kikatiba 10 ndio inatosha au unasemaje? Wakina sisi yoyote yule kwetu ni sawa ili mradi tu aiweke Tanzania (National interest) na Watanzania mbele na Taifa letu lizidi kusonga mbele...
  7. I

    Ushauri wa bure kwa Warumi waliokatwa mikia na wengineo

    Roma ya leo si ile Roma ya zamani, tawala ambayo ilikuwa na nguvu kubwa sana duniani yenye kuweza kutawala na kuendeleza Ustaarabu wa Kirumi kwa miaka na miaka hapa Ulimwenguni. Sifa kubwa za Warumi walikuwa na Jeshi imara lenye nguvu kuweza kupigana vita na kupata ushindi kwenye falme na...
  8. I

    Ukweli mchungu!! Usalama wa Taifa wanaamini Rais huchaguliwa na kamati ya CCM na si wananchi

    The last king ...ambae kutokana na chaguzi zilizokuwa zikiendelea uenda kulionekana kuna haja ya kupewa ulinzi kwa kipindi chote cha uchaguzi kutokana na sababu za Kiusalama. Ukweli ni kwamba muandishi ameudanganya umma kwa Post yake...habari yake ni ya uhongo na uchochezi kwa maana ata yule...
  9. I

    Ukweli mchungu!! Usalama wa Taifa wanaamini Rais huchaguliwa na kamati ya CCM na si wananchi

    tikatika hebu fikiria... Wapinzani wangepewa Ulinzi kwa mgombea wao, je wangekubali? au wangekataa wakidhani kwamba hao walioletwa kuwalinda watatumika kutoa siri zao??? Ikumbukwe mgombea wa Urais wa Upinzani pia alikuwa na vijana wake wanamlinda, ukiwemo ulinzi aliopewa kutokana na ya kwamba...
  10. I

    Kipi kitatokea endapo Tanzania itawekewa vikwazo vya kiuchumi?

    Kwa yale ninayoyafahamu mimi, amini usiamini, upende au usipende Tanzania KAMWE haitowekewa vikwazo vyovyote vya kiuchumi... Nina wahakikishia Watanzania wote ndani na nje, Tanzania KAMWE haiwezi kuwekewa vikwazo na nawaomba endeleeni kufanya kazi kuliendeleza Taifa la Tanzania na wale...
  11. I

    Usalama wa Taifa mmeshapandikiza hata Rais mmoja miongoni mwa nchi zinazotuzunguka?

    Kuwa nchi ndogo au kuwa nchi kubwa haikupi justification yoyote katika uporaji wa rasilimali za nchi nyingine...
  12. I

    Usalama wa Taifa mmeshapandikiza hata Rais mmoja miongoni mwa nchi zinazotuzunguka?

    Kuwa nchi ndogo au kuwa nchi kubwa haikupi justification yoyote katika uporaji wa rasilimali za nchi nyingine... Kama ukitoa justification yoyote ya uvamizi (either direct or through proxy) basi dunia KAMWE haiwezi kuwa na amani na ndio mwanzo wa kuwa na arms race na spread of weapons of mass...
  13. I

    Usalama wa Taifa mmeshapandikiza hata Rais mmoja miongoni mwa nchi zinazotuzunguka?

    ...Je nchi nyingine wakiyafanya haya unayoyasema nchini kwako na wakiweka watu wao hapa kwetu itakuwaje?? Je itakuwa sawa kuwa na puppet? Je utaona ni sahihi?? Anyway Political espionage and foreign interference sio jambo jema kabisa, wakati huo huo sio jambo la kuzuilika maana kila taifa...
  14. I

    Upende usipende ikifika 2020 bado atabaki tu ila asipopambana kama alivyo yule anayetajwa basi uenda akashindwa

    Kuijua Siasa SIO lazima uwe ndani ya chama cha siasa... Kazi yangu siku zote ni kushauri na Msiposhaurika mapema mtabaki kama yule waliemtaja wana imani nae...Na huo ndio ubaya wa Waafrika wengi hawapendi kushaurika siku zote...
  15. I

    Upende usipende ikifika 2020 bado atabaki tu ila asipopambana kama alivyo yule anayetajwa basi uenda akashindwa

    Kwanza kabisa napenda ku-declare interests: 1: Mimi sio Mwanachama wa Chama chochote cha Siasa wala sina upande wowote. 2: Interests zangu zipo kwa Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Watu wake tu. -------------------------------------- Katika kipindi cha hivi karibuni kumetokea...
Back
Top Bottom