Ukweli mchungu!! Usalama wa Taifa wanaamini Rais huchaguliwa na kamati ya CCM na si wananchi

The last king

...ambae kutokana na chaguzi zilizokuwa zikiendelea uenda kulionekana kuna haja ya kupewa ulinzi kwa kipindi chote cha uchaguzi kutokana na sababu za Kiusalama.

Ukweli ni kwamba muandishi ameudanganya umma kwa Post yake...habari yake ni ya uhongo na uchochezi kwa maana ata yule mgombea mwingine nae alikuwa na Ulinzi wakati wote wa uchaguzi mpaka leo hii tunapozungumza hapa.

Soma nilichoandika kwa umakini...

Alafu angalia mtazamo/dhamira ya muandishi wa hii post aliyonayo kutaka kuchafua idara tajwa kwa makusudi akishindwa kuonesha au kuelezea ulinzi aliopewa Mgombea yule mwingine.

Kwahiyo wazir anapewa ulinz na usalama kumbuka hao usalama wanaliipwa kutokana na kodi zetu kwa nn wamlinde mgombea wa ccm na wasiweke usawa kwa wagombea wote je mgombea wa TLP walimlinda punguzen porojo
 
tikatika hebu fikiria...

Wapinzani wangepewa Ulinzi kwa mgombea wao, je wangekubali? au wangekataa wakidhani kwamba hao walioletwa kuwalinda watatumika kutoa siri zao???

Ikumbukwe mgombea wa Urais wa Upinzani pia alikuwa na vijana wake wanamlinda, ukiwemo ulinzi aliopewa kutokana na ya kwamba alikuwa Waziri Mkuu mstaafu na mpaka leo hii bado wanamlinda, je hili umelizungumzia na kuwaambia wananchi kwenye Post yako??!

Mgombea huyo mwingine uliyemtaja kumbuka yeye alikuwa ni Waziri kabla Bunge kuvunjwa ambae kutokana na chaguzi zilizokuwa zikiendelea uenda kulionekana kuna haja ya kupewa ulinzi kwa kipindi chote cha uchaguzi kutokana na sababu za Kiusalama.

Hivyo basi unatakiwa utumie busara, hekima na akili kabla haujaandika kitu chochote, Usipende kuleta habari za uchochezi za kuweza kuichafua Idara tajwa yenye sifa za kipekee ndani ya Afrika na duniani kwa ujumla ambapo Idara hiyo inakuwezesha hapo ulipo mpaka leo hii uweze kuishi kwa amani na kula ugali wako kila siku tofauti na nchi nyingine ambazo hazina amani.

Ningewaomba wananchi wenzangu mpuuze hii habari na ningependa kushauri wahusika wa Jamii forums muweze kufuta hii Post yenye kuchafua sifa ya hii Idara tajwa kwa habari zisizokuwa na ukweli ndani yake zenye nia ya kuleta uchochezi...

Idara tajwa siku zote ipo kwa maslahi ya nchi na Wananchi wake pekee na SIO chama chochote kama muandishi alivyotaka kuuaminisha Umma.

pitia hapa chini utanielewa . haya sio mawazo yangu pekee.

hivi unajua mchakato wa kumpata mlinzi wa rais??

kamwe hawez kuwa mlinz kwa mgombea yeyote yule. naam ulinz wa kawaida unaweza pewa hata ww ukienda kuomba polisi kwamba usalama wako uko hatarini lakn kamwe kamati ya ulinz ya taifa haiwezi kukaa kukuchagulia mtu toka juu kabisa kwenye cleam ya nchi. tukubali tuu bado tunaendeshwa na chama dola. hayo mengine ni porojo tuu

Nguvu za usalama katika siasa na teuzi - JamiiForums
 
Unafikiri jamaa wataamini kuwa Marekani kuna zengwe tena babukubwa?
Mfano uchaguzi wa Nov mwaka huu, Ugavana wa Georgia na Unaseneta wa Florida ilikuwa balaa. Trump mwenyewe anajua alifanya nini na Warusi wake kuwa pale.
watu wengi humu hawafikiri nje ya box, wanaamini yale wayaonayo kama ndio ukweli wenyewe ilihali ni michezo ya makundi yaliyo nyuma ya dola.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu haya mambo yapo hata marekani, wazee wa kazi wakishaamua yupi ndiyo anafaa, hakuna namna, democracy is an imagination of beholders,

Huwezi kuachia nchi itawaliwe na yeyote anayejisikia, lazima achujwe na athibitishwe hasa kulingana na mwelekeo wa chama kwa uzito wake na ushawishi.

Unaposikia fulani kakatwa ndiyo mipango yenyewe, raia wengi hughubikwa na ushabiki kiasi kwamba wakiachwa waamue peke yao, athari nyingi zitatokea, Usalama wanawajua wagombea vizuri kuliko tunavyowajua sisi raia watiifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Magu ndiyo kwenye mchujo ndiyo inaonekana anafaa kweli bongo bado sanatuko karne ya 16.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani IPI Mkuu?

mkuu haya mambo yapo hata marekani, wazee wa kazi wakishaamua yupi ndiyo anafaa, hakuna namna, democracy is an imagination of beholders,

Huwezi kuachia nchi itawaliwe na yeyote anayejisikia, lazima achujwe na athibitishwe hasa kulingana na mwelekeo wa chama kwa uzito wake na ushawishi.

Unaposikia fulani kakatwa ndiyo mipango yenyewe, raia wengi hughubikwa na ushabiki kiasi kwamba wakiachwa waamue peke yao, athari nyingi zitatokea, Usalama wanawajua wagombea vizuri kuliko tunavyowajua sisi raia watiifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili haliihitaji hata mkutano wa kijiji kulitambua huko usalama umekwenda mbali sana.
 
Maisha yanaenda kasi sana. Zamani kugundua mtu fulani ni usalama wa taifa huyo mtu lazima ahame mkoa. Siku hizi wanajianika kama mafungu ya nyanya sokoni. Wanaishushia hadhi hiyo sekta jamani.
 
Congo, Ghana, Kenya kutaja kwa uchache hakuna usalama waTaifa mbona wamevigalagaza vyama tawala?
 
mkuu haya mambo yapo hata marekani, wazee wa kazi wakishaamua yupi ndiyo anafaa, hakuna namna, democracy is an imagination of beholders,

Huwezi kuachia nchi itawaliwe na yeyote anayejisikia, lazima achujwe na athibitishwe hasa kulingana na mwelekeo wa chama kwa uzito wake na ushawishi.

Unaposikia fulani kakatwa ndiyo mipango yenyewe, raia wengi hughubikwa na ushabiki kiasi kwamba wakiachwa waamue peke yao, athari nyingi zitatokea, Usalama wanawajua wagombea vizuri kuliko tunavyowajua sisi raia watiifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwaje wakamkata kachero/jaşusi mwenzao wakämuweka mruga ruga anaeabudu umasīkini na unyongè?
 
Na ikumbukwe kwamba kama ni weli TISS ndio waliotuchagulia Magufuli awe Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania basi wako makini kuliko maelezo, si unaona jembe hilo linavyopiga kazi? si unaona asivyoteteleka, labda niwakumbushe tu kwamba huyu ni rais imara kuwahi kutoka katika Tanzania hii kwa miaka ya hivi karibuni. Nchi za waafrica wenzetu kama Zambia, Malawi Namibia na Botswana wanatamani wangepata Rais kama huyu labda wangepiga hatua kubwa kuliko pale walipo., Watswana wanamlinganisha Magufuli na Lan Kama ambaye alileta mageuzi makubwa na kuibadilisha nchi yao kwa mda mfupi sana, miongoni mwa mambo aliyoyafanya mi pamoja na kufanya mabadiliko ya sheria katika sector ya madini, kupambana na rushwa, kuzuia safari za nje ya nchi zisizo za lazima kwa viongozi, pamoja na kujenga miundo mbinu imara ndani ya nchi.KLKwahiyo tuache siasa nyepesi za kupotoshana.
 
mkuu haya mambo yapo hata marekani, wazee wa kazi wakishaamua yupi ndiyo anafaa, hakuna namna, democracy is an imagination of beholders,

Huwezi kuachia nchi itawaliwe na yeyote anayejisikia, lazima achujwe na athibitishwe hasa kulingana na mwelekeo wa chama kwa uzito wake na ushawishi.

Unaposikia fulani kakatwa ndiyo mipango yenyewe, raia wengi hughubikwa na ushabiki kiasi kwamba wakiachwa waamue peke yao, athari nyingi zitatokea, Usalama wanawajua wagombea vizuri kuliko tunavyowajua sisi raia watiifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sawa, tofauti ni kuwa wakati marekani wanaangalia nchi, huku wanaangalia chama. Wewe unapendelea nini, nchi au chama?
 
Kwahiyo ni usalama iliyoona pia mkapa na kikwete wanafaa kuwa maRais pamoja na ufisadi wote walioufanya pamoja na sekta zote kuoza hao TISS wakaiona bado CCM inafaa kuongezewa muhula !! Kama TISS ndio inawapitisha hawa mafisadi waliofeli kila kitu toka uhuru basi naweza sema tuna SYSTEM mbovu zaidi dunia nzima.

Nachojua TISS wakipanga Rais basi awe kama lipumba hivi au Lissu wangempika wakolee wamuingize CCM maybe then wamsaidie kuiba kura ashinde alafu apige kazi hapo ningesema kweli TISS imefanya la maana ila wanapohakikisha CCM ambayo imejaa ufisadi kupata urais huoni unaipunguzia credibility ya TISS kama chombo makini....
Nilikuwa nawawazia hao watu wawili uliowataja na madudu mengi yaliyitokea na kulinganisha na nguvu ya TISS
 
watanzania tunapenda kudadisi vitu ambavyo viko nje ya uwezo wetu...... unadhani usalama wa taifa ni level ya vicoba au tycs? acheni masihara .... tunapoteza muda sana kuwajadili hao watu ambao wanatulinda

Wewe usalama unawaona kama MUNGU au kwasababu wanaitwa Usalama wa Taifa
 
Back
Top Bottom