Roma ya leo si ile Roma ya zamani, tawala ambayo ilikuwa na nguvu kubwa sana duniani yenye kuweza kutawala na kuendeleza Ustaarabu wa Kirumi kwa miaka na miaka hapa Ulimwenguni.
Sifa kubwa za Warumi walikuwa na Jeshi imara lenye nguvu kuweza kupigana vita na kupata ushindi kwenye falme na tawala mbalimbali duniani kwa miaka na miaka.
Ukristo ulienea kwenye Dola ya Kirumi na hatimaye ulipata hali/hati ya kisheria na kukubalika na Mfalme Constantine mnamo mwaka wa 313 CE, Mnamo mwaka 380 CE, Ukristo ulipata ushawishi mkubwa zaidi wakati ilipokuwa dini rasmi ya Dola ya Kirumi, hivyo basi wanaoujua ukristo kwa undani zaidi ni Warumi.
Pale mtu fulani alipoambiwa jana asijaribu kuwa More Christian than the Romans, ni kwamba asijifanye kuwa Mkristo sana zaidi ya Romans wanaoujua ukristo zaidi maana wakati huo Christins walipoingia kipindi hicho ilikuwa imejikita ndani ya dola ya Kirumi na ikawa dini rasmi ya Dola ya Kirumi.
Swali la Msingi hapa, Je kwenye hii Statement "ASIJARIBU KUWA MORE CHRISTIAN THAN THE ROMANS", Ni watu gani haswa ambao ndio wamejinasibu kwamba wao ndio the Romans??? Je kuna kundi kubwa nyuma ya pazia wanaojifananisha na Warumi?? na kama ndio hivyo basi Warumi hawa wetu wameonesha waziwazi bila ya kificho kwamba wamejipanga with tactics kupata ushindi (conquering) kurudisha dola yao ya zamani kama sifa kubwa ya Warumi ilivyo.
Pia kuonesha kwamba ni wazi pasipo na shaka au ni kweli yale yanayosemwa kwamba Mh. Membe anapanga kuwania kupata tiketi ya Urais kupitia CCM mwaka 2020 ni pale aliposema "Kwanini Uchumi wetu upo hapa ulipo, Kwanini wafanyabiashara wadogo na wakubwa wanafunga biashara zao", Hii Statement kwa mtazamo wake inaonesha waziwazi kutoridhishwa kwake binafsi kwa jinsi mambo yanavyokwenda hapa nchini na kutokubaliana na current policies.
Ushauri Kwa watawala wa sasa, Mjipange Strategically and tactically kupambana kisiasa kama mngependa kuendelea kutawala kwa awamu ya pili maana huyo Mh. Membe ameonesha waziwazi nia hiyo ya kugombea Urais kupitia tiketi ya CCM na wala si kificho tena na pia mtambue ya kwamba nyuma yake kuna kundi kubwa la Warumi nao wamejipanga haswa haswa ifikapo 2020 na sifa ya Warumi ni kushinda na nia yao ni kurudisha utawala wao madarakani na wanachukizwa na kinachoendelea hivi sasa kutokana na mitazamo yao.
Pia ningependa kuwashauri mjipange haswa haswa mkiwa na watu wenye caliber za Kirumi ili kuwashinda Warumi na hakikisheni watu hao kweli wapo loyalty kwenye kundi lenu ili wasije wakawageuka na kuleta damage au kusababisha anguko lenu, na mwisho muwaondoe watu kama kina Musiba sababu hawana la maana na muongeze vijana wanaojua fitina kama Warumi.
Ushauri kwa Mh. Membe na Warumi wengine, Kipindi hiki kaeni mbali na Media, msioneshe yaliyo moyoni mwenu, msioneshe siri zenu na mbinu zenu kwa maana mnawapa adui zenu wa kisiasa sababu za kujipanga kuweza kuwashinda nia zenu za Kisiasa, na kwa Sifa ulizonazo Mh. Membe kama Mwanadiplomasia pamoja na zile sifa nyinginezo, nimeshangazwa sana sana kuona umeweza kuongea hizo Statements na ku-alert wapinzani wenu wa kisiasa. Binafsi kwenye hizo dk 2 ulizoziongea hakika umewaamsha wapinzani wako wa Kisiasa, umeonesha weakness yako kwa maana ungekaa kimya ungepungukiwa na nini na sasa wataanza kujipanga kuondoa nguvu zako za Kisiasa kwa njia zozote so anzeni kuzijipanga mapema with countermeasures.
Endapo Mh. Membe atafanikiwa anachokitaka, basi ndie atakuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM (ni swala gumu sana sana ingawa strategically linawezekana), na endapo akishindwa anachokitaka basi itakuwa ndio mwisho wake wa Kisiasa kwake au ndio utakuwa mwanzo wa kuwa Mpizani mkubwa nje ya CCM na uenda wakaamia upande wa pili na kama likitokea hili basi Wapinzani wajipange kumpokea Mh. Membe na Warumi wenzake na kumteua kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya Upinzani, na endapo Mh. Membe na Warumi wenzake kama wakihama kuelekea Upinzani na wakati huohuo CCM itakayobakia haitojipanga sawasawa basi uenda ndio ikawa kwa mara ya kwanza Serikali ya Tanzania itaendeshwa na Wapinzani na sio CCM kwa maana wapinzani uenda watashinda; na endapo Warumi hawa waliokatwa mikia wakishindwa tena kwa mara ya pili kwenye Uchaguzi mkuu wa Urais basi wajipange kuelekea Zimbabwe maana hawatokatwa mikia tena na kitachofuata ni kuchunwa ngozi kisiasa.
------------------------------------------
Angalizo: Uchambuzi huu upo neutral na hauegemei upande wowote, Ikumbukwe mimi sio Mwanasiasa wa chama chochote cha Siasa na siku zote mimi kazi yangu ni kushauri na nipo hapa kutoa ushauri kwenye mambo mbalimbali muhimu hapa nchini kwa faida ya Taifa la Tanzania na Watanzania.
Sifa kubwa za Warumi walikuwa na Jeshi imara lenye nguvu kuweza kupigana vita na kupata ushindi kwenye falme na tawala mbalimbali duniani kwa miaka na miaka.
Ukristo ulienea kwenye Dola ya Kirumi na hatimaye ulipata hali/hati ya kisheria na kukubalika na Mfalme Constantine mnamo mwaka wa 313 CE, Mnamo mwaka 380 CE, Ukristo ulipata ushawishi mkubwa zaidi wakati ilipokuwa dini rasmi ya Dola ya Kirumi, hivyo basi wanaoujua ukristo kwa undani zaidi ni Warumi.
Pale mtu fulani alipoambiwa jana asijaribu kuwa More Christian than the Romans, ni kwamba asijifanye kuwa Mkristo sana zaidi ya Romans wanaoujua ukristo zaidi maana wakati huo Christins walipoingia kipindi hicho ilikuwa imejikita ndani ya dola ya Kirumi na ikawa dini rasmi ya Dola ya Kirumi.
Swali la Msingi hapa, Je kwenye hii Statement "ASIJARIBU KUWA MORE CHRISTIAN THAN THE ROMANS", Ni watu gani haswa ambao ndio wamejinasibu kwamba wao ndio the Romans??? Je kuna kundi kubwa nyuma ya pazia wanaojifananisha na Warumi?? na kama ndio hivyo basi Warumi hawa wetu wameonesha waziwazi bila ya kificho kwamba wamejipanga with tactics kupata ushindi (conquering) kurudisha dola yao ya zamani kama sifa kubwa ya Warumi ilivyo.
Pia kuonesha kwamba ni wazi pasipo na shaka au ni kweli yale yanayosemwa kwamba Mh. Membe anapanga kuwania kupata tiketi ya Urais kupitia CCM mwaka 2020 ni pale aliposema "Kwanini Uchumi wetu upo hapa ulipo, Kwanini wafanyabiashara wadogo na wakubwa wanafunga biashara zao", Hii Statement kwa mtazamo wake inaonesha waziwazi kutoridhishwa kwake binafsi kwa jinsi mambo yanavyokwenda hapa nchini na kutokubaliana na current policies.
Ushauri Kwa watawala wa sasa, Mjipange Strategically and tactically kupambana kisiasa kama mngependa kuendelea kutawala kwa awamu ya pili maana huyo Mh. Membe ameonesha waziwazi nia hiyo ya kugombea Urais kupitia tiketi ya CCM na wala si kificho tena na pia mtambue ya kwamba nyuma yake kuna kundi kubwa la Warumi nao wamejipanga haswa haswa ifikapo 2020 na sifa ya Warumi ni kushinda na nia yao ni kurudisha utawala wao madarakani na wanachukizwa na kinachoendelea hivi sasa kutokana na mitazamo yao.
Pia ningependa kuwashauri mjipange haswa haswa mkiwa na watu wenye caliber za Kirumi ili kuwashinda Warumi na hakikisheni watu hao kweli wapo loyalty kwenye kundi lenu ili wasije wakawageuka na kuleta damage au kusababisha anguko lenu, na mwisho muwaondoe watu kama kina Musiba sababu hawana la maana na muongeze vijana wanaojua fitina kama Warumi.
Ushauri kwa Mh. Membe na Warumi wengine, Kipindi hiki kaeni mbali na Media, msioneshe yaliyo moyoni mwenu, msioneshe siri zenu na mbinu zenu kwa maana mnawapa adui zenu wa kisiasa sababu za kujipanga kuweza kuwashinda nia zenu za Kisiasa, na kwa Sifa ulizonazo Mh. Membe kama Mwanadiplomasia pamoja na zile sifa nyinginezo, nimeshangazwa sana sana kuona umeweza kuongea hizo Statements na ku-alert wapinzani wenu wa kisiasa. Binafsi kwenye hizo dk 2 ulizoziongea hakika umewaamsha wapinzani wako wa Kisiasa, umeonesha weakness yako kwa maana ungekaa kimya ungepungukiwa na nini na sasa wataanza kujipanga kuondoa nguvu zako za Kisiasa kwa njia zozote so anzeni kuzijipanga mapema with countermeasures.
Endapo Mh. Membe atafanikiwa anachokitaka, basi ndie atakuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM (ni swala gumu sana sana ingawa strategically linawezekana), na endapo akishindwa anachokitaka basi itakuwa ndio mwisho wake wa Kisiasa kwake au ndio utakuwa mwanzo wa kuwa Mpizani mkubwa nje ya CCM na uenda wakaamia upande wa pili na kama likitokea hili basi Wapinzani wajipange kumpokea Mh. Membe na Warumi wenzake na kumteua kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya Upinzani, na endapo Mh. Membe na Warumi wenzake kama wakihama kuelekea Upinzani na wakati huohuo CCM itakayobakia haitojipanga sawasawa basi uenda ndio ikawa kwa mara ya kwanza Serikali ya Tanzania itaendeshwa na Wapinzani na sio CCM kwa maana wapinzani uenda watashinda; na endapo Warumi hawa waliokatwa mikia wakishindwa tena kwa mara ya pili kwenye Uchaguzi mkuu wa Urais basi wajipange kuelekea Zimbabwe maana hawatokatwa mikia tena na kitachofuata ni kuchunwa ngozi kisiasa.
------------------------------------------
Angalizo: Uchambuzi huu upo neutral na hauegemei upande wowote, Ikumbukwe mimi sio Mwanasiasa wa chama chochote cha Siasa na siku zote mimi kazi yangu ni kushauri na nipo hapa kutoa ushauri kwenye mambo mbalimbali muhimu hapa nchini kwa faida ya Taifa la Tanzania na Watanzania.