Habari zenu wakuu, natumai nyote ni wazima wa afya, napenda leo nichangie ujuzi wangu kama mjuzi wa elimu ya ujasiriamali, Nimekuwa nikiona post mbali mbali za watu ambao wamekuwa wakiweka mawazo mbali mbali ya kibiashara na kuwaambia watu, "Jamani haya nimiongoni ya mawazo ukichagua moja wapo...
Acha kukalili kama mzee, uwelewa haupimwi kwa shule zenu za kata hizi, na elimu iliyojaa siasa, maalifa bora yanajengwa kwa kula chakula bora cha ubongo, nacho ni usomaji wa vitabu. Huyu dogo alishasema mda mwingi anasoma sana vitabu.
Tatizo lako mfumo dume umekujaa ndugu yangu, yani apo hakuna lolote unaloliwaza wewe kuona watu walioa darasa la saba na form four wanaidi zaidi ya kuona kuwa wake zao wanakuwa hawana uwezo wa kutetea haki na mawazo yao mbele ya waume zao, sasa apo kama mwanaume unafaidi nini? Binafsi nilisema...
Dah ndugu Baija Bolobi yani comment yako imenifuraisha kweli, yani nimecheka kweli inaitaji akili kubwa kujua maneno mazito ya fungua na funfa semi yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.