Kabla ya kujiuliza hayo yote boss wangu, anza kwanza kwa kujiuliza kuwa Yesu alikuwa ni muumini wa dhehebu gani?? Kwanini Yesu mmoja ila madhehebu japo zaidi ya 100?? Je, lipi ni dhehebu sahihi??
What if he is "Kilaza"?? Kwa hiyo mimi nisizungumze Russian nzuri mbele ya Delegation kutoka Ubalozi wa Russia hapa Tanzania kisa nitamu outshine my Master anayeyua Russian kwa kiwango cha chini??
Only a stupid master can put down his subordinates and refuse to learn from them..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.