Recent content by Indigokid

  1. I

    JamiiForums Tanzania Tafadhali sana, kama hujui maana ya siasa usiandike mada za kisiasa!

    Insanity is real!
  2. I

    JamiiForums Tanzania Je Nani atafuata kuwa mkurugenzi wa TISS?

    Ulishajipendekeza sana wewe na kujaribu kuonesha kuwa uko vizuri kuliko wao. Hilo usijisumbue, wenyewe wanakujua vizuri sana. Usithubutu kupima moto kwa kuugusa. Tisi siyo mguu pande mguu sawa, kushotooo geuaka!!. Tisi ni lidubwasha kubwa!
  3. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

    😂😂😂😂
  4. I

    JamiiForums Tanzania Saidi Lugumi azama kwenye penzi zito na Miss Rwanda 2016, Jolly Mutesi

    Ila tu, namtahadharisha Lugumi asijekuwa daraja la ujasusi wa Rwanda kwa Tanzania. Ajue kabisa, Mnyarwanda hajakubali kuliwa na Mtz mzee hivihivi. Kama siyo pesa ndiyo sababu basi ujasusi wa kibiashara/uchumi.
  5. I

    JamiiForums Tanzania Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Big brain👏👏👏👏👏👏👏
  6. I

    JamiiForums Tanzania Saidi Lugumi azama kwenye penzi zito na Miss Rwanda 2016, Jolly Mutesi

    Lugumi.Jolly.Tacticaldefense.PK
  7. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 Alex Msama; mtumishi wa watu mwenye dhamira ya kweli aliyebeba hatima njema ya wananchi wa Ukonga!

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂, Mthamaaaaaaaaaaaaa!
  8. I

    JamiiForums Tanzania Nimeota:Ameamua kuachia kijiti

    Kuotaota kwako, iko siku utaota unapakwa utelezi shauri zako!
  9. I

    JamiiForums Tanzania Hii picha kuna kitu hakiko sawa: Mzee George Mkuchika amesimama vijana wamekaa

    Mleta uzi acha blah blah, huo mkao ni wa kiitifaki (umezingatia seniority order ya kimadaraka kulia na kushoto mwa Mhe. Rais Samia).
  10. I

    JamiiForums Tanzania Hii picha kuna kitu hakiko sawa: Mzee George Mkuchika amesimama vijana wamekaa

    Kwa huo mkao ni itifaki imezingatiwa na siyo suala la Mkuchika kuwa wa siku nyingi Ikulu. Hapo ni mpangilio wa kiitifaki tu na siyo blah blah unayotaka kutuchafulia bongo zetu hapa.
  11. I

    JamiiForums Tanzania PICHA: Shule hii iliyojengwa na Rais Samia yawakosha wazungu na kugusa hisia zao. Watamani angezaliwa kwao na kuwa Rais wao

    Kumbe wewe ndiye Lucas Mwashambwa !!. Si ulishawahi kukimbiza pia mwenge neshino levo
  12. I

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Samia kupigwa chini na Nchimbi kuchukua nafasi yake kugombea kukinusuru chama

    Yuko nje ya nchi kumwakilisha Mhe. Rais kwenye mikutano mbalimbali Nigeria na Spain. Uliza lingine wa kuungaunga, kwani ulitaka kusemaje?
  13. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kushindwa kusimamisha kwa sababu mazingira machafu?

    Duuuuuu
Back
Top Bottom