Trump “ataachilia moto mkali” (yaani mashambulizi makubwa zaidi) ikiwa #Iran haitakubali kufanya makubaliano.
Iwapo Iran haitakubali ukweli kwamba imeshindwa, Trump ataongeza mashambulizi kwa nguvu zaidi.
Iran haipaswi kufanya makosa ya kukadiria hali vibaya tena.
Kwa muktadha, msemaji wa...
Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, ameripotiwa kumshawishi Rais wa Marekani, Donald Trump, kuendelea kuongeza shinikizo dhidi ya Iran, akieleza kuwa mgogoro huo ni “fursa ya kihistoria” ya kubadilisha nguvu za kisiasa katika Mashariki ya Kati na kudhoofisha utawala wa Iran...
majamaa yana vichwa vikubwa lakini hayana akili. wenzako wanafagiliwa kama taka za shule wewe umekomaa kuuza sura kwa tv ukipromote mfumo wa kigaidi wa IRGC. Run man run.
Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, amesema leo Machi 17, 2026 kuwa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika shambulio la Israel.
Ali Larijani amekuwa akijulikana kwa miongo kadhaa kama kiongozi mwenye msimamo wa wastani na mtazamo wa kimkakati ndani ya uongozi wa Iran...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.