Recent content by inchaji

  1. I

    Marekani Kufungulia Malango ya Kuzimu Ikiwa Magaidi wa IRGC Wataendelea Kukaza Fuvu

    Trump “ataachilia moto mkali” (yaani mashambulizi makubwa zaidi) ikiwa #Iran haitakubali kufanya makubaliano. Iwapo Iran haitakubali ukweli kwamba imeshindwa, Trump ataongeza mashambulizi kwa nguvu zaidi. Iran haipaswi kufanya makosa ya kukadiria hali vibaya tena. Kwa muktadha, msemaji wa...
  2. I

    Mwana Mfalme MBS amuambia Trump aendelee kutoa Kipondo kwa Magaidi wa IRGC

    Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, ameripotiwa kumshawishi Rais wa Marekani, Donald Trump, kuendelea kuongeza shinikizo dhidi ya Iran, akieleza kuwa mgogoro huo ni “fursa ya kihistoria” ya kubadilisha nguvu za kisiasa katika Mashariki ya Kati na kudhoofisha utawala wa Iran...
  3. I

    Betting imeniliza jamani🙌

    umepasuka 🤣
  4. I

    Kiongozi mpya wa Iran Mojtaba Khamenei yuko wapi?

    tusubiri KOBAZ watupatie updates
  5. I

    Kundi la Kigaidi la IRGC laanza kupoteza nguvu na ushawishi.

    https://www.instagram.com/p/DWBl55OjFgp/?igsh=aXUxcTRuMHFkZDdj
  6. I

    Magaidi wa Hezboullah wapata kipigo cha Mbwa-koko huko Beiruti

    maghorofa yanapigwa mtama kama dem wa kinyakyusa Israel konyo 🙌
  7. I

    Iran yafanya Operesheni ya kijasusi ndani ya Israel na kumuua waziri

    anabeua uji wa pilipili kama ng'ombe
  8. I

    Katika sala zako ukumbuke kuiombea Israel... Utaishi kwa amani sana hapa duniani

    hapo sasa unaongelea wayahudi. siyo Israel. huo ndo mkanganyo.
  9. I

    Katika sala zako ukumbuke kuiombea Israel... Utaishi kwa amani sana hapa duniani

    Kuna watu huchanganya. Ombea Israel kama nchi. Sikuambii uombee Wayahudi.
  10. I

    Je Unajua ni kwanini Israel Hawasumbuki Kumuwinda na Kumuua Masoud Pezeshkian, Rais wa Iran?

    majamaa yana vichwa vikubwa lakini hayana akili. wenzako wanafagiliwa kama taka za shule wewe umekomaa kuuza sura kwa tv ukipromote mfumo wa kigaidi wa IRGC. Run man run.
  11. I

    Michezo ya akili: Wakati uvumi wa kifo cha Netanyahu ukienea, Israel imefanikiwa kuwaua Katibu wa Baraza la Usalama la Taifa la Iran na mkuu wa Basij

    Vita ni mchezo wa data na facts. Siyo kujificha mapangoni na kuanza kuvurumisha makombora yasiyokuwa na shabaha maalumu.
  12. I

    Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    intelligence mkuu. Mossad wapo wa kutosha Tehran.
  13. I

    Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, amesema leo Machi 17, 2026 kuwa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika shambulio la Israel. Ali Larijani amekuwa akijulikana kwa miongo kadhaa kama kiongozi mwenye msimamo wa wastani na mtazamo wa kimkakati ndani ya uongozi wa Iran...
Back
Top Bottom