Huyu atakuwa anasaka uteuzi tu. Jaji Warioba alishawahi kuwashauri kwa kuwaandalia Rasimu ya Katiba Mpya hamkumsikiliza. Mkang'ang'ana na katiba yenu inayomfanya mtu kuwa mungu na matokeo yake ndo hayo ya tarehe 29.
Kuna makosa ukifanya yana gharama kubwa. Sekta ya utalii Tanzania inaendelea kuathirika.
https://www.instagram.com/p/DXTbUtZDD_M/?img_index=6&igsh=MTBxZnVmYTg0eWJ2dA==
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.