Shida yako umetanguliza kubisha na kukosoa kwa hiyo huwezi kukubali chochote utakacho ambiwa na ushahidi wowote hutaukubali hivyo baki na unavyotakiwa kubaki makafiri hamna maswali mapya Wala kejeri mpya
Shida yako umetanguliza kubisha na kukosoa kwa hiyo huwezi kukubali chochote utakacho ambiwa na ushahidi wowote hutaukubali hivyo baki na unavyotakiwa kubaki makafiri hamna maswali mapya Wala kejeri mpya
Wavuta ngada dunia nzima ndo mavazi yao ya hovyo hovyo huyo jamaa nyimbo zake ni za hovyo hovyo nikiwa Rais wasanii aina yake wana kesi ya kujibu kwa kuua muziki wa Tanzania na mziki nzuri wenye ujumbe .
Ni mtu mpumbavu na Taahira anaweza kumuona ni mtu wa maana huyo msanii wenu.
Fally ipupa...
Nje ya mada.
Hivi wavaa midabwada kama huyo pichani sio wezi?
hivi huyo msela pichani hali malaya?
kama huna pesa acha kuchukia wenye nazo kwa maana unazidi kujiweka mbali na pesa.
jifunze au upuuze!
Kama hutojari naomba unijibu hili swali
Kwa nini miaka ya tisini huo unaoitwa Ukimwi umewamaliza watu wengi sana mpaka pale zilipogunduliwa hizi Arv kidogo ile kasi ya vifo vinavyotokana na Ukimwi vimepungua na hata ule ukondaji wa kubaki kilo mbili ni nadra?
je enzi zile ule ulikuwa ni...
Kwa hiyo kila mwanamke hela ni mpaka haongwe ?
Hawawezi kuwa na kipato nje ya kuhongwa?
kwa hiyo hata muheshimiwa Samia hawezi kumpa zawadi kama gari mumewe?
kuna wanawake wana kipato kizuri kudhidi wanaume wengi tu.
shida inakuwa kuwapata ila ukishampata hicho nilichofanyia ni kidogo sana...
Wanawake wana wanawadharau Wanaume wa aina mbili.
(1) Mwanaume mwenye kuhonga.
(2)Mwanaume anayemuoa wakati yeye mwanamke sio bikira.
Mimi nilipoanza kujitambua nilianza project ya kujithamini na kukuza muonekano wangu.
Huwezi amini ndinga ya kwanza kuendesha nilinunuliwa na Binti alafu wakati...
Wanawake wana wanawadharau Wanaume wa aina mbili.
(1) Mwanaume mwenye kuhonga.
(2)Mwanaume anayemuoa wakati yeye mwanamke sio bikira.
Mimi nilipoanza kujitambua nilianza project ya kujithamini na kukuza muonekano wangu.
Huwezi amini ndinga ya kwanza kuendesha nilinunuliwa na Binti alafu wakati...
Daah Rest in peace my Mother!
Labda ungekuwepo ungenirepeat kunizaa nifanane na huyu wa mtoa mada hana hata baya?
Anyway wapi wanatoa kozi kama hii nikasome kudadake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.