Wewe ni Kihande kwelikweli,nakubaliana na mchagia mada aliyesema kuwa umewaingiza Wahaya kwenye mada yako ili ipate wachangiaji.Ushauri mfu kutoka kwenye jeneza lako(kichwa).
Sasa wewe umesahau alivyokuwa akipiga kelele bungeni kuhusu ushahidi wa wa ugaidi dhidi ya Lwakatare,au umesahau jinsi alivyojinasibu juu ya kutoa ushahidi hata wa Mbingfuni?? Huyu bwana mdogo amelewa madaraka anafikiri watawala anaojikomba kwao wataendelea kuongoza milele,akili ya mende...
Kati ya mambo ambayo nimeyagundua kwako wewe Mwigulu ni kuendesha Siasa ambazo kimsingi zinakiangamiz chama chako CCM bila wewe na washirika wako wa karibu katika chama chenu sijui kwa kutambua ama kwakutokutambua (ujinga)kwenu ndo mnakipa tiketi ya ANGUKO LA MWISHO mwaka 2015,mkijidanganya...
Mh, Ndg yangu yaelekea wewe ni mgeni na unaonesha udumavu ki uelewa katik siasa za nchi hii,Hivi hujui yeye Kikwete pamoja na rundo la washauri wake hakuwahi kuiona nchi ilivyokuwa ikiteteleka mpaka tu pale "THE REGEND" Mh Zitto alipotaka sahini za wabunge zinazohitajika kikatiba ili kumg'oa...
By Revocatus Kashaga
wataalamu wa siasa wamesema hatua hii ni kama kujidhalilisha wenyewe, [/CENTER]
source: kipeperushi 'UHURU na MZALENDO.Hivi vipeperushi bado vinachapishwa mpaka leo??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.