Unasahau kabla ya mfumo wa vyama vingi kila kiongozi serikalini au jeshini ilikuwa lazima awe mwanachama wa CCM na mfumo ulipoanzishwa wakatakiwa kutokuwa na chama. Pia kasema mwenyewe kuwa mara baada ya kustaafu 2011 alirejea kama mwanachama wa CCM.
Na kuhusu katiba usiwe kama hujui yeye kama...
Huyu akichukua nitajitolea kumpigia debe. Angalau ni kati ya wana CCM wasiokuwa na hata chembe ya kashfa na nitakuwa na uhakika wa nchi hatimaye kupata katiba inayokubalika.
Siasa majitaka at its best. Nina uhakika kama Nyalandu angekuwa hajatangaza nia ya kuutaka urais haya yote yasingetokea. Kwenye ripoti ukiisoma imeeleza ni kweli kuna maeneo tembo wamepungua sana na kuna sehemu kuna ongezeko. Kote huko wameelezea sababu ambazo kiuhalisia zinaeleweka kwa mtu...
Nchi za wenzetu hii ishu ingeleta mjadala wa kitaifa lakini kwetu kwa sababu kila mtu kazoea kutumia njia za mkato tunachukulia poa. Mungu ibariki Tanzania.
Bado sielewi kwa nini mtaalam kama huyu anataka kupoteza mazuri yake yote aliyowahi kuyafanya kwa kujiingiza kwenye siasa. Amuulize mama Tibaijuka yaliyomkuta.
Watangaza nia wa CCM Mheshimiwa Lazaro Nyalandu na Mheshimiwa Edward Lowassa wamekutana makao makuu ya CCM Zanzibar ambapo wote wameenda kutafuta wadhamini kama ilivyoagizwa na Chama Cha Mapinduzi. Wote wameenda na wake zao Mama Regina Lowassa na Faraja Nyalandu.
Watangaza nia wa CCM Mheshimiwa Lazaro Nyalandu na Mheshimiwa Edward Lowassa wamekutana makao makuu ya CCM Zanzibar ambapo wote wameenda kutafuta wadhamini kama ilivyoagizwa na Chama Cha Mapinduzi. Wote wameenda na wake zao Mama Regina Lowassa na Faraja Nyalandu.
Nyalandu anaweza asiwe mhutubiaji mzuri lakini kiutendaji tuseme ukweli kawashinda wengi waliotangaza nia. Tangu aichukue wizara ya maliasili na utalii kuna mabadiliko yanaonekana, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Sioni umuhimu wa kuandaa mdahalo wakati ndio kwanza watu wanaanza kuchukua form. Wangesubiri hadi idadi kamili imejulikana ndo wafane hiyo kitu wote wawekwe kwenye podium kwa pamoja. Tukifuata hiyo system aliyoisema Ali Mufuruki kuwa wiki ijayo waanze watano alafu wiki nyingine waongezeke kuna...
HOTUBA YA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII
MHESHIMIWA LAZARO SAMUEL NYALANDU (MB),
AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2015/2016
Dodoma Mei, 2015...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.