Recent content by imomo

  1. I

    Zipi ni Simu (SMARTPHONES) nzuri katika maduka ya Tanzania kwa sasa?

    2gb Ram, 13mp camera HD... resolution ni za ukweli... 16gb... ina fingerprint scanner n its water resistance.
  2. I

    Zipi ni Simu (SMARTPHONES) nzuri katika maduka ya Tanzania kwa sasa?

    Nina Galaxy s5.. naiuza.. ipo poa sana.. ni bonge simu... nicheki 0688413421... nimeitumia mwezi mmoja...
  3. I

    Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

    Nauza Galaxy s5...nicheki inbox 0688413421
  4. I

    Bei ya ushuru wa verossa

    Nataka kujua bei za ushuru wa gari aina ya verossa...ya mwaka 2001..2000cc.. naombeni mnitajie gharama yake ya kuitoa bandarini...
  5. I

    Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

    Ookk..hapo nijaze chuo gani then???
  6. I

    Smartphone ya 300,000

    Leta nikuuzie s3 yangu
  7. I

    Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

    Hahaaahahaha...Duuuhh..kaka unajua kuvunja watu moyo sana..hongera kwa hiko kipaji..
  8. I

    Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

    Sawa mkuu...nimekuelewa..Basi naombeni mnishauri..nichague chuo gani kama first choice..ambacho mnanona nitapata bila shida...nataka nisome civil au Mining engineering
  9. I

    Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

    Umeniambia wanahesabu masomo mawili..but kwenye guide book imeandikwa atleast 2points from three subjects
  10. I

    Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

    Yaahh bro..principle inaanza D..kwenye guide book imeandikwa...D ni sawa na E ya zamani
  11. I

    Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

    So ile D ya physics haitahesabika??? Alafu kweli koz nimeona wameandika nyingi two points from three subjects...hiyo ndo minimum requirement..
  12. I

    Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

    Duuuhhh..kwahiyo D ni point 0.5 au 1?? Au ni kwamba G.S zote either ni A au B au D zina point 0.5??? Daahh..naona kama sielewi mkuu...alafu nimeona humu kwe jamii forum watu wengi wanaponda chuo cha UDOM ni nini tatizo na kile chuo kaka??? Naombeni mnielimishe..
  13. I

    Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

    Daahhh...Asante sana kaka kwa kunielewesha..nilikuwa sijui ilo...asante sana...
  14. I

    Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

    Nina point 6 kaka...sio 5.5...alafu nahofu kuchagua civil kwasababu kila mtu anaifikiria hiyo..
Back
Top Bottom