Hii Kali sana aisee... Ila ninacho amini ni kwamba muumba kaumba kila kitu kinachoonekana na kisicho onekana... Hayo mengine nakushauri tumuachie yeye ahukumu na kuhitimisha maana hata mtu akifa hakuna mtu alie hai anajua marehemu anapatwa na hali gani. Let our lord lead the way and put science...
Well tunashukuru sana kwa hatua hii ya gharama za kulipa ankara ya umeme kupunguzwa, nimeona effect yake ambayo kwangu ni chanya kwani kazi zangu zinagharimu sana umeme.
Habari ya muda huu wadau wenzangu. Nilikuwa na wazo la kufanya biashara kwa kuanza na mtaji wa milioni mbili, sasa bado sijajua uhakika kamili kwamba ni biashara gani naweza kuanzisha na ikanipa faida nzuri kwa kiasi hicho cha mtaji. Ahsanteni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.