Mhubiri anawaita watu kama wewe wapumbavu! Ujuaji usio na maana mbele za MUNGU na kama umetumwa na kuzimu kuharibu huu uzi nenda kawape ujumbe huku walokole tumejaa. Unakataa uwepo wa MUNGU na kuanza kumuinua shetana akidhani hatutakuelewa kuwa wewe ni wakala wa kuzimu. Ushindwe kwa jina la yesu...
Sasa wewe kama Islamic unajuaje kama wakristo wanamwabudu Mungu asiyefanana na wa kwenu? Kwanini mnapenda kulazimisha Mungu wetu na wa kwenu wafanene? Nyinyi mnalazimisha kuwa yesu ni nabii issa na sisi hatumjui huyo issa achenu kufosi ukristo ufanane na nyinyi.
Msirudie tena kwenda kwa waganga wa kienyeji,,. Nakushauri kwasababu imani yenu kwa Mungu haijakua anzeni kufuatilia maambo ya mtume mwamposa operation komboa familia kila siku saa 3 usiku inarushwa live,. Aminini Mungu atamsaidia na kama kuna roho ya ukoo itakoma. Kwa yesu kuna uponyaji aminini
Mama kama unasoma huku mtandaoni,. Tunakuomba usiwachekee hawo watu wanaojiita wapinzani hawakawii kumwaga damu za watanzania ,. Tunakupenda sana ila hichi kikundi cha chadema wanataka kukudhalilisha mama wakazie
Kwa aina ya siasa hi ya CHADEMA waungwana watakaa pembeni waendelee na hawo watoto waropikaji., maana ni kuishiwa hoja na kubaki na matusi matokeo yake ni kuambulia jela na kuanza lawama kwa serikali ambayo kila moja anaona mama ana nia na katiba mpya na ni imani ya wengi mchakto utaanza kabla...
Godbless Lema anaweza akawa anatumika na Mungu ila tu Watanzania kwa sababu za kisiasa hawatalielewa hilo.
Kaka Lema endapo utasoma andiko hili, please imarisha mahusiano yako na Mungu kuliko utumishi wa kisiasa ambao siku zote umejaa lawama, sina maana uache siasa ila kitendee haki zaidi karama...
Wewe mtoa mada ndiyo mnafiki mkubwa sana wakati hayati anamkosoa JK hadharani nina maana JK hajafanya chochote kwenye awamu yake achane unafiki nyie vijana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.