Godbless Lema anaweza akawa anatumika na Mungu ila tu Watanzania kwa sababu za kisiasa hawatalielewa hilo.
Kaka Lema endapo utasoma andiko hili, please imarisha mahusiano yako na Mungu kuliko utumishi wa kisiasa ambao siku zote umejaa lawama, sina maana uache siasa ila kitendee haki zaidi karama ya Mungu. Asante na utekelezaji mwema
Kaka Lema endapo utasoma andiko hili, please imarisha mahusiano yako na Mungu kuliko utumishi wa kisiasa ambao siku zote umejaa lawama, sina maana uache siasa ila kitendee haki zaidi karama ya Mungu. Asante na utekelezaji mwema