Nimesikitishwa sana na ubaguzi huu wa ajabu ndani ya mwaka 50 ya uhuru,hata kama madaraka yanatafutwa basi kwa namna hii tunakiangamiza kazazi,tusubiri tuone mkuu wa nchi kama atabariki haya na kama atamchukulia hautajali gani waziri mbaguzi wa kabila kama huyu,
Ni thread nzuri ingawa kuonesha kuwa haturidhiki na viongozi waliopo ni kuwatupilia mbali na kuchagua viongozi wazalendo,sisi wanamufindi ni wakujilaumu kwani tuliwahi kumchagua mbunge mmoja na aliongoza miaka 40 bila jipya la kujivunia.
nawaunga mkono makamanda wate hapa,hata ningeshauri yeyote anaetaka kutangaza biashara yake asitangaze na TBC kwani hakuna mtu ataona huko, TBC is dead kabisa.
nahisi kama hizo bilioni 200 wanataka kuzichakachua kwa mgongo wa mgogoro wa madaktari,kwani si ndio kazi ya magamba,kukitokea disaster wao wanaplan kuchota hela kupitia mwanya huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.