Recent content by Imanuelcrypto019

  1. Imanuelcrypto019

    Hukuzaliwa kuja kuokolewa na mtu

    Hongera sana,na feel energy yako wakati uko unachalaza ujumbu huu, ushauri consistency ni muhimu kwa bado utajifa mwisho kujifunza📌
  2. Imanuelcrypto019

    Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

    Sio kosa lao,ni elimu yenyewe wameipata imewajenga kuwa ivyo,mwenye macho na aone.
  3. Imanuelcrypto019

    Ugumu wa kupambana na ushoga, usagaji, malaya na madada poa uko hapa

    Suluhisho 3.ni kweli,nchi za Afrika,zikiacha kutegemea misaada ya wafadhiri, na kujitawala yenyewe,bila Shaka %99.99 tunaweza kupingana na matatizo yote,yenyewe tunaletewa. Uwezekano wa maadili ya kiafrika kuwa Bora,ni mkubwa zaidi. Kutokana na misimamo ya VIONGOZI walio pewa dhamana na wananchi.
  4. Imanuelcrypto019

    Kuanzisha biashara kwa mtaji wa Tsh 1,000,000

    Je? Ni biashara ipi naweza nikaanza nayo,kwa mwezi nipate faida ya elf 30
  5. Imanuelcrypto019

    Kuanzisha biashara kwa mtaji wa Tsh 1,000,000

    Ukitaka,unaweza ukanishauri,niweze kufanya biashara na iyo pesa tajwa apo[emoji115]
  6. Imanuelcrypto019

    Kuanzisha biashara kwa mtaji wa Tsh 1,000,000

    Apana mkuu,lengo ni kupata aidi ya biashara.
  7. Imanuelcrypto019

    Kuanzisha biashara kwa mtaji wa Tsh 1,000,000

    Ndugu zangu nahitaji ushauri wenu, nipo DAR ES SALAAM. Nahitaji kuanzisha biashara, nina mtaji kiasi cha 1,000,000. Sasa sijajua ni biashara gani ambayo nifanye, lengo kwa siku nipate faida kuanzia 30,000.
  8. Imanuelcrypto019

    Ukweli usemwe: Wanawake wameiharibu Dunia imekuwa kama shimo la choo

    Ni utumwa wa fikra,mwenye akiri timamu na asieendesha na hisia awezi kufanya wanavyo fanya %nyingi ya Wasichana,na wamama wa kiafrika
  9. Imanuelcrypto019

    Ukweli usemwe: Wanawake wameiharibu Dunia imekuwa kama shimo la choo

    Ni kweli unasema,ukweli ni kwamba si wote wenye kufanya uyasemayo.
Back
Top Bottom