Recent content by Imano8

  1. Imano8

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua bei za bati ya alaf kwa kiwandan

    nataka kujua bei ya mabati ya alafu
  2. Imano8

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye miaka 35 na kuendeleaa ndio wanaojuaa maana ya mapenzi

    Nakuambia ukweli jambo usilolijua ni sawa ucku giza
  3. Imano8

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu nahitaji dawa ya mapunye

    Ok
  4. Imano8

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuwa katika familia lazima ujifunze kuwa baba kweli kweli

    Hahaha dawa bhana ila wakati mwingine ukiwa mkali uta kosa maoni ndani ya familia kisa utaona unakosolewa
  5. Imano8

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu nahitaji dawa ya mapunye

    Ok nashukuru ndugu
  6. Imano8

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu nahitaji dawa ya mapunye

    Yaani cjui hata nimepata kwa njia gani
  7. Imano8

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu nahitaji dawa ya mapunye

    Ndio napaka ndugu
  8. Imano8

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu nahitaji dawa ya mapunye

    Jaman Nina hitaji dawa za mapunye yana ni sumbua sana maeneo ya kichwani nipewa dawa hospital nitumia yana potea kwa muda kisha yana rudi tena
  9. Imano8

    JamiiForums Tanzania Tuambie kitu cha utundu sana ulichofanya utotoni na hutakisahau maisha yako yote

    Tulikuwa tuna sehemu yetu ya kucheze bens yaan maharage yaliyo banguliwa vipande vinne, sasa kulikuwa jamaa mbabe sana hapo palikuwa na shina LA mti ilio katwa ndio kili kuwa kiti chake , cku moja nikachukua miida nika izamisha kwenye lile shina jamaa alipo kuja kwa kujiamin akalia like shina...
  10. Imano8

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye miaka 35 na kuendeleaa ndio wanaojuaa maana ya mapenzi

    Haya maneno yenu yata waponza cku moja
  11. Imano8

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuwa katika familia lazima ujifunze kuwa baba kweli kweli

    Kwahiyo kila mwenye kufanya makosa kupewa adhabu Kali au
  12. Imano8

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuwa katika familia lazima ujifunze kuwa baba kweli kweli

    Maisha yanaenda kwa kasi sana, muda nao una tuacha, wengine tuna tamani kuwa kama tulivyo Leo milele , turudi kwenye point, iko hivi ili kuweza kuwa baba bora was familia lazima ujifunze kuwa na UPENDO juu ya yote, kwanini nasema hivyo , upendo hauna chuki, upendo una uvumilivu ndani yake hau...
  13. Imano8

    JamiiForums Tanzania Kuna nini kati ya Magufuli na Wasoviet?

    Hahaha ww kuna kitu una maanisha
  14. Imano8

    JamiiForums Tanzania Mzee wetu mbona kila tukikuvisha nguo wewe unazivua!

    Naona ndala zangu zimeisha ngoja nika nunue zingine 2020
  15. Imano8

    JamiiForums Tanzania Mzee wetu mbona kila tukikuvisha nguo wewe unazivua!

    Naona ndala zangu zimeisha, ngoja nika nunue zingine 2020
Back
Top Bottom