Safi sana sherehe zingine zinapoteza tu pesa za walipa kodi. Ikiwezekana huu usafi usimamiwe na JWTZ ili watu wajue sio siku ya mapumziko bali usafi tu.
Wewe mzima wa afya??
Kuongea sana sio kwamba ndio utaeleweka sana mbele ya wapiga kura otherwise maneno yatakuishia utaanza kutukana na kukanusha uliyoyasema mwanzo.
we jamaa inaonesha unapenda ligi ya ubishi. Usipokuwepo ufuatliaji wa kutosha wapumbavu huchakachua hii miradi haijalishi ni WB, IMF, AFDB, EU ya fedha za ndani. Je wajua kupitia kelele alizopiga sugu kuhusu ujenzi wa hizo barabara hasa ile iliyopita uzunguni ilifumuliwa na kujengwa upya kisa...
kuna mjinga mmoja kauliza kukaa uchi kunamuathiri vp mtoto, inaonesha hata akili yake imevurugwa huyu. Alichofanya Sugu hajakosea kabisa kwa ubovu wa maadili ya mama wa mtoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.