Nimemaliza form six mwaka huu. Nilisoma Cbg na matokeo yalipotoka nkajua nina credit ya 2.3
Nika apply chuo na makosa nliyofanya kwa maana nilikuwa jeshini na kuna mtu alinisaidia ku apply, yeye hakufanya consideration ya capacity ya vyuo na cutting point zake so nkakosa round ya kwanza ya...
Kwamba wote wanaosoma IAA ni wachuga????
And even if that were the case, mambo ya siasa hayahusiani na social services.
Tulio prefer ukawa rather than CCM ni mapendeleo yetu tu na wala hayahusiani na utaratibu wa serikali
Wadau rejea kichwa cha habari hapo juu.....
Mimi nmechaguliwa kujiunga na chuo cha kcmc nkasome bsc prosthetics and orthotics...
Kwa walionitangulia hapo naomba ufafanuzi wa kina wa maisha ya pale campus
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.