Recent content by Image

  1. I

    Sumu ya Saanene - swali kwa MASALIA a.k.a PM-7

    Hii story inanikumbusha enzi zile niko darasa la pili wakati tunasoma vitabu vya Juma na Roza juu ya wahalifu waliojificha kwenye manyasi, mmoja alipoona wenzake wameuwawa kwa kupiga kwao kelele na yeye kwa kujua he was safe akapayuka kwa kusema "heri mimi sijasema". Sasa hapa hawa PM7 kama si...
  2. I

    Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

    Kesho hawatasema lolote watajifanya hawakufuatilia hukumu.
  3. I

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Mungu wetu ni mwema! Mimi ndio kwanza nimejoin dakika chache zilizopita mara nasoma ukombozi huu wa dhati! Hongera kamanda Lema pamoja na makamanda wooote! Hata hivyo nichukue fursa hii kusema hello kwa wana JF wote.
Back
Top Bottom