Ila naangalia Samsung nyingi Zina superamoeled alafu hizi zingine LCP utofaut mkubwq ni Nini?ila note 10 huko wameweka display ingine sio amoeled hii inakaajae
Inayo kwenye app husika mfano twiter ila general sidhani ila kwa maoni yako kwa simu ya home button Samsung Kati ya Samsung a9 pro na c9pro ipi ni nzuri najua zote ni old version lakin napenda tu miundo yake je hizi zote mbili zitakuwa hazina nguvu Kama j7prime zilioachiwa hivi karibuni?na ipi...
Chief mkwawa nisaidie ndugu natamani kupata samsung yenye uwezo na muonekano kama wa c9 pro hususan kwenyae homebutton Kwan hizi za sasa full screen sio mpenzi je no Samsung gani yenye specification nzuri na Ina kuwa upgraded kwa haraka na kuwa na features Kama za recent phones kama dark...
Samahani Mimi nimekuww mpenzi na Samsung zenye homebutton sana sana samsungc9pro naona specification zake nzuri lakin pia napenda feature ya dark mode iyo simu Haina je kuna Samsung Ina homebutton na ni latest version yenye features Kama za recent phone au inayo upgraded mpaka 10 CHIEF MKWAWA
saada chief mkwqkwa kati ya android lollipop na marshmallow IPI mzuri maana nakuta watu wanalalamika wanataka kurudi lollipop kutoka marshmallow IPI nzur hapo nataka ninunue oppof1plus ambayo inaitwa r9 yenye lollipop5.1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.