Na hapa inabidi majizi wote wa Kodi zetu na wanaofuja rasirimali za nchi wauliwe wote.
So long as wamekuwa suspected wauawe, hakuna haja ya kupelekwa mahakamani kwani wahalifu kwa viwango vyote wanatakiwa kuuawa.
Kwa hiyo kosa la kanisa ni kuitaka serikali itende haki?
Na kwa Nini hamtaki kutenda haki?
Unajua kwa hiki mnachokifanya hamkisaidii chama Wala serikali bali mnaongeza chuki dhidi yake?
Na kama uwezo wenu unawaonesha kuwa mnalipunguza nguvu kanisa juu ya kusema ukweli mnakosea. Kwa wenye akili...
Nilichokiona ni kuvurugika kwa mpangilio wa barua baada ya kupandishwa. Na bahati mbaya aliyepandisha ariridhika na kile alichokiandaa kwenye device yake na matokeo ni kutokueleweka kwa baadhi ya maelekezo
Hili ni wazo zurisana. Lakini kwanza itabidi tuwafute kazi mabalozi na wawakilishi wa nchi yetu waliopo ughaibuni.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba, balozi zetu hawajui majukumu yao japo tunawahudumia Kwa Kodi zetu. Na badala yake tuwatumie wanaohamasisha maandamano kwa kuwa wamedhihirisha...
Pale tunaposhindwa kuzitumia akili zetu na badala yake tunatanguliza tamaa, viburi, na dharau .
Mwisho wa siku tunatafuta wa kumuangushia lawama (jumba bovu) . Ama kweli yule prof hakukosea kusema watu weusi si binadamu kamili sawa na wazungu.
Tu wajinga na wapumbavu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.