Recent content by ilogelo

  1. I

    JamiiForums Tanzania Nina uhitaji wa kuku wa mayai wenye umri wa miezi 4

    Nakushukru mkuu Naomba kujua japo makadirio ya bei zao yakoje. Na address zao please kama utaweza kunisaidia
  2. I

    JamiiForums Tanzania Nina uhitaji wa kuku wa mayai wenye umri wa miezi 4

    Mfumo wa kulea vifaranga vichanga kwangu haujakaa vizuri
  3. I

    JamiiForums Tanzania Nina uhitaji wa kuku wa mayai wenye umri wa miezi 4

    Nina changamoto ya brooding system
  4. I

    JamiiForums Tanzania Nina uhitaji wa kuku wa mayai wenye umri wa miezi 4

    Habarini wakuu Nina uhitaji wa kuku wa mayai wenye umri wa miezi 4. Kwa anayeyejua mahali wanapouzwa naomba anisaidie pia kujua bei ikoje. Ninatanguliza shukrani za dhati Asanteni
  5. I

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha alizeti, utunzaji na soko

    Hongera Kwa mavuno mkuu Nimejaribu kuangalia mapato kulingana na maelezo yako naona umepata Sana. Mathalani, umevuna gunia 4 Kwa eka na kila gunia umepata Lita 20 ambazo umeuza Kwa bei ya 80.000. mapato yanaonekana kuwa ya kuridhisha 4*20*80000=6,400,000/= Kwa ninavyofahamu gharama ya...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Project partner au mwajiri karibu

    Njoo pm Shamba lipo karibu yako
  7. I

    JamiiForums Tanzania Ludovick Rwezaura alishambulia Kanisa Katoliki kwa kuikosoa Serikali ya Samia

    Ludovick Rwezaula
  8. I

    JamiiForums Tanzania Ludovick Rwezaura alishambulia Kanisa Katoliki kwa kuikosoa Serikali ya Samia

    Ludovick Rwezaula Mwenyekiti wa CCM
  9. I

    JamiiForums Tanzania Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Na hapa inabidi majizi wote wa Kodi zetu na wanaofuja rasirimali za nchi wauliwe wote. So long as wamekuwa suspected wauawe, hakuna haja ya kupelekwa mahakamani kwani wahalifu kwa viwango vyote wanatakiwa kuuawa.
  10. I

    JamiiForums Tanzania Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Kama ambavyo waa Kama vile waandamanaji walivyokuwa wanapractice amani inayohubiriwa na watawala wako
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Ni kweli Wote watakuwa wameshajiunga kwenye kundi la wauaji, hapo nadhani patakiwa patamu sana au unasemaje?
  12. I

    JamiiForums Tanzania Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Sawa Basi acha kuwatetea hao malofa ikiwa huu ndo maimamo wako
  13. I

    JamiiForums Tanzania Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Kama ambavyo mnawaua wanaolipa Kodi ili ninyi mpate pesa za kujichotea mle na kuvimbiwa
  14. I

    JamiiForums Tanzania Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Nadhani hii kauli suits better your party na watawala wako. Jishughulishe ubongo
Back
Top Bottom