Recent content by ilogelo

  1. I

    Ludovick Rwezaura alishambulia Kanisa Katoliki kwa kuikosoa Serikali ya Samia

    Ludovick Rwezaula Mwenyekiti wa CCM
  2. I

    Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Na hapa inabidi majizi wote wa Kodi zetu na wanaofuja rasirimali za nchi wauliwe wote. So long as wamekuwa suspected wauawe, hakuna haja ya kupelekwa mahakamani kwani wahalifu kwa viwango vyote wanatakiwa kuuawa.
  3. I

    Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Kama ambavyo waa Kama vile waandamanaji walivyokuwa wanapractice amani inayohubiriwa na watawala wako
  4. I

    Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Ni kweli Wote watakuwa wameshajiunga kwenye kundi la wauaji, hapo nadhani patakiwa patamu sana au unasemaje?
  5. I

    Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Kama ambavyo mnawaua wanaolipa Kodi ili ninyi mpate pesa za kujichotea mle na kuvimbiwa
  6. I

    Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Nadhani hii kauli suits better your party na watawala wako. Jishughulishe ubongo
  7. I

    Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Kwa hiyo kosa la kanisa ni kuitaka serikali itende haki? Na kwa Nini hamtaki kutenda haki? Unajua kwa hiki mnachokifanya hamkisaidii chama Wala serikali bali mnaongeza chuki dhidi yake? Na kama uwezo wenu unawaonesha kuwa mnalipunguza nguvu kanisa juu ya kusema ukweli mnakosea. Kwa wenye akili...
  8. I

    WAZIRI WA ELIMU CHUKUA TAHADHARI SEKONDARI YA BEATRICE SHELUKINDO YA KILINDI

    Nilichokiona ni kuvurugika kwa mpangilio wa barua baada ya kupandishwa. Na bahati mbaya aliyepandisha ariridhika na kile alichokiandaa kwenye device yake na matokeo ni kutokueleweka kwa baadhi ya maelekezo
  9. I

    Mwigulu Nchemba: Mnasema maisha magumu? Magari namba E yamejaa Barabarani, na Benki kuna foleni

    Marie Antoinette: "Kwa nini hawa wanaandamana? Reply: Eti hawana mkate Marie Antoinette: Si wale keki
  10. I

    PostGE2025 Live zinazofuata tuweke watu wa kututafutia fursa za masoko nje, na sisi watz tuungane kwenye kilimo, wasikae tu nje bila umuhimu wowote

    Hili ni wazo zurisana. Lakini kwanza itabidi tuwafute kazi mabalozi na wawakilishi wa nchi yetu waliopo ughaibuni. Hii ni kutokana na ukweli kwamba, balozi zetu hawajui majukumu yao japo tunawahudumia Kwa Kodi zetu. Na badala yake tuwatumie wanaohamasisha maandamano kwa kuwa wamedhihirisha...
  11. I

    Historia Elimu na Rwanda Genocide

    Pale tunaposhindwa kuzitumia akili zetu na badala yake tunatanguliza tamaa, viburi, na dharau . Mwisho wa siku tunatafuta wa kumuangushia lawama (jumba bovu) . Ama kweli yule prof hakukosea kusema watu weusi si binadamu kamili sawa na wazungu. Tu wajinga na wapumbavu sana
Back
Top Bottom