Recent content by illu

  1. I

    Majina ya Madhehebu Kuendana na Asili/Waasisi Wake

    Hii nzuri sana ingekuja na huku coz huku mtu akijisikia kuacha hapa akaoe pale anaenda tuu...Mkono wa Serikali upo mbali. Tungetakiwa kupata vibali viwili vya ndoa...Serikali na Dini...
  2. I

    Dr. Ramadhan Dau, Asharose Migiro na Mathias Chikawe wateuliwa kuwa Mabalozi

    Aone aibu ya nini kwani ni yeye kajiweka huko si amepelekwa!!! Pili yeye mwenzio ashakula shavu sanaaa hata hapo bado anakula shavu....Je wewe?? Kila kiongozi anastyle yake ya uongozi....anastyle yake ya uteuzi.....Magufuli kwake inaelekea si ladies first....yule tunajua mtu wa kanda ya...
  3. I

    Dr. Ramadhan Dau, Asharose Migiro na Mathias Chikawe wateuliwa kuwa Mabalozi

    hapo ni mwanzo wa mabadiliko bado tutayaona zaidi...Bado taasisi nyingi za Umma wakuu wake hawajabadilishwa siku nyingi.......Naamini Rais ndio analifanyia kazi step kwa step...Ukiwa mkuu ktk taasisi moja kwa muda mrefu huleta kufanya kazi kwa mazoea kwa wafanyakazi na wafanyakazi kujua kumsoma...
  4. I

    Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

    YAANI NIMEKUPENDA BURE...umenifurahisha..naufeel umuhimu wa JF
  5. I

    Two Indian police suspended over Tanzanian student attack

    hawa watu wanamadharau sana na ubaguzi...hawa ukikutana nae akikugusa tuu unammalizia hasira zako zotee
  6. I

    Joseph Mbilinyi (Sugu) amtaka Rais Magufuli asafiri Nje ya Nchi ajifunze kwa wenzake

    kikwete ni alizidisha sana ...........unatakiwa kitu utumie kwa wastan sio uzidishe...kila kitu ukizidisha kinamadhara...hata ukila sana utavimbiwa..
  7. I

    Joseph Mbilinyi (Sugu) amtaka Rais Magufuli asafiri Nje ya Nchi ajifunze kwa wenzake

    Acha ya rais hata wewe raia wa kawaida usipo jichanganya na wengine kuna hasara yake kama unafanya biashara ya kusaka pesa....SOMA ADVANTAGES ZA INTERNATIONAL TRADE TUU JAPO KWA UCHACHE ZITAKUSAIDIA.
  8. I

    Joseph Mbilinyi (Sugu) amtaka Rais Magufuli asafiri Nje ya Nchi ajifunze kwa wenzake

    Alipigiwa kelele kwasababu hakufanya kwa kipimo....lakini sio ndio kukataa kabisa kusafiri...Ushirikiano na Viongozi wenzako ndipo utapata mawazo mbali mbali
  9. I

    Dr. Kimei: Hatua ya Serikali kuhamishia akaunti zake BoT, itasaidia kupunguza mfumuko wa bei

    nahisi wewe itakuwa huna ujirani mwema ndio maana hujawahi pewa lift....ila ukikaa vituoni utaona magari mengi tuu madogo madogo yanasimama na kumshusha mtu hasa mida ya asubuhi... hizo zote hivyo ni lift.... Maofisini wengi wakitoka wanategea lift za wenzao hadi sehemu fulani...
  10. I

    Joseph Mbilinyi (Sugu) amtaka Rais Magufuli asafiri Nje ya Nchi ajifunze kwa wenzake

    Sisi sio kisiwa....Ukishirikiana na wenzio ndipo nao watashirikiana nawe...Wewe baba hupendi kwenda kwa mwenzio na unapiga marufuku unategemea nani atakuja kwako....
  11. I

    Dr. Kimei: Hatua ya Serikali kuhamishia akaunti zake BoT, itasaidia kupunguza mfumuko wa bei

    Kila kitu kikikosekana huwa kinaathiri kingine....Magari ya mikopo yakikosekana LIFT zitakosekana, watu wa dalalada wataongezeka hivyo kupelekea kuwa na msongamano wa abiria vituoni....Mtajazwa katika daladala hadi katika buti...sababu watu wamekosa hela za kununua magari yao binafsi... Ufinyu...
  12. I

    Dr. Kimei: Hatua ya Serikali kuhamishia akaunti zake BoT, itasaidia kupunguza mfumuko wa bei

    Sasa subiria utajalia na wewe ngoja mimi niache kulia now...nikusubirie wewe baadae
  13. I

    Dar: Jengo la ghorofa 16 laanza kubomolewa, Mtaa wa Indira Gandhi wafungwa

    Ila mimi huwa wananikera hawa viongozi ni pale wanaacha hadi mtu kafikisha jengo juu ndipo wanakuja mbomolea...Kwanza hapo ni kumkatisha mtu tamaa, pili ni kupoteza ajira za watu kibao sababu ktk jengo kama hilo pengine ni hoteli au nyumba za watu zingeajiri wafanyakazi wa ndani wangapi, au...
Back
Top Bottom