Huwa naenda mara moja moja nikiwa $500 ya kuchezea. Ila kuna vijana pale aisee hatari, kila Jumamosi wapo na wanaorder bottle service za milioni 2 kwenda juu. Siwataji majina ila mtu yoyote mzoefu wa pale anawajua maana ni balaa. Sijui wanatoa wapi pesa wale.
Tafuta website ya www.thestudentsbuzz.com
Uweke post yako pale.
Ndio website mpya kwajili ya wanafunzi bongo. Hakika wakuu wataiona na kukusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta website ya www.thestudentsbuzz.com
Uweke post yako pale.
Ndio website mpya kwajili ya wanafunzi bongo. Hakika wakuu wataiona na kukusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.