Recent content by Ilkham

  1. Ilkham

    Msaada: Hospitali gani nzuri kwa magonjwa ya kinamama?

    Habari zenu, Naomba kuuliza ni hosptali gani ambayo naweza kupata Dr. mzuri wa magonjwa ya kinamama tu (tumbo) Ahsante.
  2. Ilkham

    Naomba Ushauri/Msaada

    Nimepoteza bahasha nzima ya vyeti Og na copy zake Ahsante sana
  3. Ilkham

    Naomba Ushauri/Msaada

    Habar zenu Tafadhali naombeni ushaur wenu Nimepoteza cheti cha form four muda wiki hii sasa kabla cjaenda kurupot polis nimepigiwa cm mahali nikafanye interview na nikafanya tu kibahati nikawaeleza nimepoteza chet wakanielewa Sasa wameniambia nifatilie walau nipate cheti namba ili wahakikishe...
  4. Ilkham

    Mrejesho: Ahsante JF nimepata mwenza

    Ahsante
  5. Ilkham

    Mrejesho: Ahsante JF nimepata mwenza

    Ahsante sana Inna
  6. Ilkham

    Mrejesho: Ahsante JF nimepata mwenza

    Tulia tuuuuliii utaelewa utakapouona
  7. Ilkham

    Mrejesho: Ahsante JF nimepata mwenza

    Yes hakuna mkamilifu
  8. Ilkham

    Mrejesho: Ahsante JF nimepata mwenza

    Hakika mume/mke mwema anapatikana popote pale, Nashukuru nilileta uzi wa kutafuta mume,Mwanaume aliye tayari kuwa mume baadae aisee wengine walifanya masihara sana na wengine walikuwa serious wanauhitaji, wengine sikuvutiwa nao, wengine hawakunivutiwa na mimi. Ila Nashukuru nilibahatika...
  9. Ilkham

    Ukiamua kumuacha muache kweli acha kigeugeu..!

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Ilkham

    Mwanaume aliye tayari kuwa mume baadae

    Nope Yaan mtu aje PM lkn co kwa kunijaribu
  11. Ilkham

    Mwanaume aliye tayari kuwa mume baadae

    Ndio saiz c mume ni mwanaume Pale atakapo nioa ndo atakuwa mume
Back
Top Bottom