Ilkham
Member
- Jul 16, 2017
- 16
- 11
Habar zenu
Tafadhali naombeni ushaur wenu
Nimepoteza cheti cha form four muda wiki hii sasa kabla cjaenda kurupot polis nimepigiwa cm mahali nikafanye interview na nikafanya tu kibahati nikawaeleza nimepoteza chet wakanielewa
Sasa wameniambia nifatilie walau nipate cheti namba ili wahakikishe kama ni kweli ni miongoni kwa watu wenye vyeti OG
Msaada tafadhali hv hii chet namba naweza kwenda Necta kweli wakanielewa ndani ya siku mbili na cjatoa tangazo popote
Au inaweza kupatikana pia mtandaoni kama vile exam No.
Msaada please maana sielewi nifanyaje
Tafadhali naombeni ushaur wenu
Nimepoteza cheti cha form four muda wiki hii sasa kabla cjaenda kurupot polis nimepigiwa cm mahali nikafanye interview na nikafanya tu kibahati nikawaeleza nimepoteza chet wakanielewa
Sasa wameniambia nifatilie walau nipate cheti namba ili wahakikishe kama ni kweli ni miongoni kwa watu wenye vyeti OG
Msaada tafadhali hv hii chet namba naweza kwenda Necta kweli wakanielewa ndani ya siku mbili na cjatoa tangazo popote
Au inaweza kupatikana pia mtandaoni kama vile exam No.
Msaada please maana sielewi nifanyaje