Recent content by ILIYOSHINDIKANA FM

  1. I

    Tibaijuka: Wanaoniita mwizi wataisoma namba

    Kwa tunaomfahamu huyu mama hatupati shida kwa hizo kelele zenu za kumuita mwizi.Uwezo wake ni mkubwa hakuna wa kupinga hilo!! Kikubwa ni siasa za maji taka ndio zilizotumia nguvu kubwa sana kumchafua huyu mama!!! Hofu kubwa walihofia kwa Kasi na uwezo aliokuwa nao....akizidi kupaa juu kisiasa...
  2. I

    Tibaijuka: Wanaoniita mwizi wataisoma namba

    Akichangia bungeni juzi proff tibaijuka amesema " si vyema mgawanyo wa rasilimali katika wilaya uwe sawa!!" Kikubwa ni kuangalia population na ukubwa wa eneo. AKITOLEA Mfano wilaya ya muleba hususani jimbo lake la muleba kusini lenye kata 25!!!JIMBO Ambalo naamini kwa sasa ndio jimbo lenye kata...
  3. I

    Mh. Waziri Mwijage liangalie hili

    Kiwanda cha Viroba kimefunguliwa Nshamba Muleba. Haya ni maendeleo au mwisho wa vijana wetu. Jamani Mhe Rais Magufuli tuokoe. Piga marufuku viroba vyote bila kujalisha kama vinatoka ndani au nje ya nchi. Penye viroba hapana kazi yoyote itafanyika. Waziri Mwijage fuatilia. Viwanda vyote vya...
  4. I

    Waziri wa Viwanda na Biashara, fuatilia kiwanda cha kutengeneza viroba Nshamba Muleba

    Kiwanda cha Viroba kimefunguliwa Nshamba Muleba. Haya ni maendeleo au mwisho wa vijana wetu? Jamani Rais Magufuli tuokoe, piga marufuku viroba vyote bila kujalisha kama vinatoka ndani au nje ya nchi. Penye viroba hapana kazi yoyote itafanyika. Waziri Mwijage fuatilia viwanda vyote vya viroba...
  5. I

    Ada elekezi shule binafsi tayari

    Kwa mtazamo wangu sidhani kama hili swala la karo elekezi linawezekana......kwani tution fee itakuwa ndogo.....ila ukiangalia gharama za maradhi na chakula sidhani kama hapo kunaweza kuwa na mjadala!!!! Katika shule zilizo bora....mtoto anakula milo minne!! Anapata matunda,maziwa nk..... Maradhi...
  6. I

    Kufunga mageti ya ofisi saa moja na nusu kwa miundombinu hii!

    Wadau, Nimeliangalia hili swala la waheshimiwa kufunga mageti ya ofisi saa moja na nusu wakati miundombinu yetu ni ya kutumia masaa manne kwa mwendo wa km 1! Kwa maoni yangu naona si sahihi kabisa! Kikubwa si umefika ofisini saa ngapi bali kikubwa ni kuangalia mtu kafanya kazi masaaa mangapi...
  7. I

    Wajue Mawaziri 4 viporo

    Hawamu hii Waziri WA Elimu lazima awe Proff......So ni swala la kuangalia katika bunge kuna ma proffesa wangapi ambao hawajapata wizara........then jibu la wizara hiyo litakuwa limepatikana.Ni mawazo Tu.....
  8. I

    Elimu bure kwa baadhi ya wazazi

    Monday, December 14, 2015( Source" MPEKUZI") Serikali Imetoa Waraka wa ElimuBure......Shule 11 za Serikali Hazitahusika na Utoaji wa Elimu Bure (HIZI SHULE 11 AMBAZO WAZAZI HAWAJAHURUMIWA NI KWA NINI?? NA JE MWANANGU KUTOKA HUKU KWETU KIJIJINI ANAWEZA KUJA KUSOMEA HAPO??!!! NI MAWAZO...
  9. I

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    WADAU TUJARIBU KUJIKUMBUSHA YALE YALIYOSEMWA NA MH LUSINDE KATIKA BUNGE,,KIPINDI AKICHANGIA JUU YA SAKATA LA ESCROW!!! NI VEMA MH ZITTO AKAZIJIBU TUHUMA HIZI KABLA YA KUHUSIKA KATIKA KUMSAFISHA MUHANGA YEYOTE YULE ALIYEKUMBWA NA SAKATA HILI!!!
Back
Top Bottom