Ingekuwa bongo
Mpaka wanatoka watu washachomoka mpaka na vigae
Baada ya kufika humo ngumi za kugawana vilivyomo zingefuatia
Kuna mtu angetamani hata alifiche kochi kwenye shati
Ndugu yangu
Afrika ndio bara pekee ambalo viongozi wooote ni wapumbavu na mawakala wa shetani
Kwa sasa kijana kuwa na akili nchi yoyote ya Afrika ni kosa la jinai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.