hii post imeonekana ni ya kitambo saana but imeeleza ukweli mtupu maana UKAWA ambayo tuliona kama ndo mkombozi wa wengiimegubikwa na uchu pamoja na tamaa kubwa ya madaraka na kwa hali hii watawaachia tena CCM miaka mitano jambo ambalo kwa wanaharakati na wakerketwa kama mimi cjalifurahia hata...
Ni wakati muafaka kwa Watanzania kukataa rasmi ushoga kupitia katiba mpya inayoandaliwa bila kuogopa chochote
kwani ushoga ni kinyume na maandiko matakatifu na pia kinyume na utamaduni wa Mtanzania.
Kutoonyesha bunge la katiba ni ukiukwaji wa katiba iliyopo ya nchi hii, ni vema basi serekali ikafahamu kuwa kuwanyima raia haki halali ya habari pia ni ukiukwaji wa haki za binadamu, maana yake ni sawa na mtu aliyeko mahabusu hawezi kujua yaliyo nje.Ccm siku zenu zinahesabika 2015 si mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.