Recent content by Ilakwahhi

  1. I

    CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

    hii post imeonekana ni ya kitambo saana but imeeleza ukweli mtupu maana UKAWA ambayo tuliona kama ndo mkombozi wa wengiimegubikwa na uchu pamoja na tamaa kubwa ya madaraka na kwa hali hii watawaachia tena CCM miaka mitano jambo ambalo kwa wanaharakati na wakerketwa kama mimi cjalifurahia hata...
  2. I

    Tanzania govt on Homosexuality: We can do without UK aid

    Ni wakati muafaka kwa Watanzania kukataa rasmi ushoga kupitia katiba mpya inayoandaliwa bila kuogopa chochote kwani ushoga ni kinyume na maandiko matakatifu na pia kinyume na utamaduni wa Mtanzania.
  3. I

    USHOGA nchini: Tuangaliane machoni sasa!

    Tuwafundishe wazungu maadili mema waafrika tunamjua Mungu,tusikubali machukizo hayo wabaki nao ulaya.
  4. I

    Bunge la Katiba: Kutokuonyeshwa kwenye TV Live ni hujuma kwa watanzania

    Kutoonyesha bunge la katiba ni ukiukwaji wa katiba iliyopo ya nchi hii, ni vema basi serekali ikafahamu kuwa kuwanyima raia haki halali ya habari pia ni ukiukwaji wa haki za binadamu, maana yake ni sawa na mtu aliyeko mahabusu hawezi kujua yaliyo nje.Ccm siku zenu zinahesabika 2015 si mbali.
  5. I

    Bunge la Katiba: Kutokuonyeshwa kwenye TV Live ni hujuma kwa watanzania

    Ccm wanaendeleza mfumo wa chama kimoja Watanzania tuwang'oe 2015 angalao wakae bench kwa miaka mitano.
  6. I

    Mtaalam wa landscaping

    Wewe uko wapi maana wataalamu wapo wengi kama Mimi nipo Arusha na bei ni maelewano tu.
Back
Top Bottom