kujibizana na mtu mjinga kama ww wote tutakuwa wajinga! anyway meli iliyosajiliwa tanzania imekamatwa huko pwan ya italia na tani30 bangi, aibu nyingine hiyo!
Kati ya cdm na serikali ya maccm anaeweweseka nani, rais anajua hii tume inaweza ikaivua nguo serikali ndio maana anasita na nyie mnashabikia bila hata kufikir!??
Njaa mbaya kuliko zote ni njaa ya akili!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.