Recent content by IKUNGURU IJIRU CHUKU

  1. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Sensa ya watu na makazi: Maswali ambayo hayakupaswa kuwepo kwenye dodoso

    Wewe ndo hujui,,hoja yake huyu bwana ina mashiko sana.Kweli kabisa watu wengi hawatasema kweli,Mfano Unaulizwa una kuku wangapi.Akitoka tu hata dakika moja anakuja mgeni unamchinjia kuku,,baada ya siku nne kuku wote wamekufa kwa Ugonjwa,,je serikali itakuwa na hesabu sahihi ya hao kuku??
  2. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Tanesco: wateule wa Rushwa

    Kinacho nisikitisha wananiambia niende Handeni Nikafungue kesi,,Najiuliza kesi ya nini,,,maana niliuliza tu kuwa kama ile umeme vijijini wa Tsh 27,000,,ulifutwa? jibu lilikuwa rahisi ndio umefutwa,au hapana haujafutwa,,,nakama haujafutwa kwanini mimi nimechajiwa Tsh 842,676.70? wangenijibu...
  3. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Tanesco: wateule wa Rushwa

    Hawatu wanatudanganya kijinga
  4. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Wataalamu Dadavueni nyie mie kichwa gongana

    Viwango vya juu vya tozo ya Serikali vimepunguzwa kutoka sh. 7,000/- hadi 4,000/-(kwa wanaotuma zaidi ya sh. 3,000,000/-). Viwango vya chini vimepunguzwa kutoka sh. 100/- hadi shilingi 10/- (wanaotuma kati ya sh. 100/- hadi 2,999/-) UFAFANUZI WA KINA UTATOLEWA NA WIZARA YA FEDHA
  5. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Tanesco: wateule wa Rushwa

    Hakika umesema kweli. Maana kutowapa hongo ndio wakanikomoa kulipia beikinwa umeme VIJIJINI.
  6. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Sehemu kubwa ya ongezeko la mshahara kwa wafanyazi kurudi serikalini kwa njia ya tozo benki

    Ungezeko la mishahara NI upuuzi mtupu. WAFANYAKAZI wote tumeonekana wajinga.
  7. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Ni kweli hali ya maisha imekuwa ngumu, na pia ni kweli hizi tozo hazikubaliki, sasa wananchi tuseme kwa vitendo imetosha

    Mtu anafanya biashara kila akifunga anapeleka hela bank then kesho anaenda kuitoa anakatwa chaji za kutoa benki, VAT na tozo unategemea huyu mtu ataendelea kuweka pesa benki? Kila akifanya transfer kulipa suppliers the same,tuwe serious basi na maisha ya watu.
  8. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Huu ni wizi wa mchana kweupe

    Serikali ya CCM inachofanya ni Uporaji wa Pesa za wanachi! Huwezi Mkata mtu PAYE au Income tax halafu uje tena umkate tozo ya Serikali kwa kutoa pesa bank kwenye Pesa hiyo hiyo. Thats Robbery in a broad day light. Widen your tax base. Acheni quick fix its not Sustainable
  9. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Huu ni wizi wa mchana kweupe

    Serikali ya CCM inachofanya ni Uporaji wa Pesa za wanachi! Huwezi Mkata mtu PAYE au Income tax halafu uje tena umkate tozo ya Serikali kwa kutoa pesa bank kwenye Pesa hiyo hiyo. Thats Robbery in a broad day light. Widen your tax base Acheni quick fix its not Sustainable
  10. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Sehemu kubwa ya ongezeko la mshahara kwa wafanyazi kurudi serikalini kwa njia ya tozo benki

    Kaka kwakweli ,NI aibu Kwa taifa,linalojinadi Lina wajali watu wake. Huwezi kumkata mfanyakazi Payee,,halafu uende ukamkate tena TOZO. Kwakweli Mwiliguru alisema tuhamie Kongo,tukampuuzia. Alimaanisha.
  11. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Hivi hawakuangalia hili la tozo kwa wafanyakazi?

    Aliyeleta wazo la Tozo za Bank transfer alilenga kila mshahara wa watumishi wa serikali ukatwe kwa sababu mishahara yote inapita benki lakini kasahau kuwa mshahara huo huo umeshakatwa PaYE na kwa sheria za kikodi upaswi kufanya double taxation,Kama ikiendelea wafanyakazi mtaumia
  12. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Joyce Mukya aliyetajwa kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

    Ushahama nicho Ndugu yangu. Maana Mbowe hajafungwa
  13. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    EWURA yatangaza bei mpya za mafuta ya Julai, 2022. Petroli, Dizeli zapanda

    Wapi mama yetu Kipenzi kafeli? kwanini hana uchungu na raia wake?
  14. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    EWURA yatangaza bei mpya za mafuta ya Julai, 2022. Petroli, Dizeli zapanda

    Nauliza kwanini imepanda? ijapo bei ya petroli ni cha mtoto kwenye mafuta ya kula,,,tunaelekea wapi? na tufanyeje kuzuia vitu kupanda? naomba ushauri wenu
  15. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Hivi ni kweli tuna Waziri wa Ujenzi? Maana hoi barabara ya Mbagala Mwendokasi ni hatarishi

    Ulituona tukisherehekea?? Mbona Una hubiri Jambo halipo
Back
Top Bottom