Wewe
ndo hujui,,hoja yake huyu bwana ina mashiko sana.Kweli kabisa watu wengi hawatasema kweli,Mfano Unaulizwa una kuku wangapi.Akitoka tu hata dakika moja anakuja mgeni unamchinjia kuku,,baada ya siku nne kuku wote wamekufa kwa Ugonjwa,,je serikali itakuwa na hesabu sahihi ya hao kuku??
Kinacho nisikitisha wananiambia niende Handeni Nikafungue kesi,,Najiuliza kesi ya nini,,,maana niliuliza tu kuwa kama ile umeme vijijini wa Tsh 27,000,,ulifutwa? jibu lilikuwa rahisi ndio umefutwa,au hapana haujafutwa,,,nakama haujafutwa kwanini mimi nimechajiwa Tsh 842,676.70? wangenijibu...
Viwango vya juu vya tozo ya Serikali vimepunguzwa kutoka sh. 7,000/- hadi 4,000/-(kwa wanaotuma zaidi ya sh. 3,000,000/-). Viwango vya chini vimepunguzwa kutoka sh. 100/- hadi shilingi 10/- (wanaotuma kati ya sh. 100/- hadi 2,999/-)
UFAFANUZI WA KINA UTATOLEWA NA WIZARA YA FEDHA
Mtu anafanya biashara kila akifunga anapeleka hela bank then kesho anaenda kuitoa anakatwa chaji za kutoa benki, VAT na tozo unategemea huyu mtu ataendelea kuweka pesa benki?
Kila akifanya transfer kulipa suppliers the same,tuwe serious basi na maisha ya watu.
Serikali ya CCM inachofanya ni Uporaji wa Pesa za wanachi! Huwezi Mkata mtu PAYE au Income tax halafu uje tena umkate tozo ya Serikali kwa kutoa pesa bank kwenye Pesa hiyo hiyo.
Thats Robbery in a broad day light. Widen your tax base. Acheni quick fix its not Sustainable
Serikali ya CCM inachofanya ni Uporaji wa Pesa za wanachi! Huwezi Mkata mtu PAYE au Income tax halafu uje tena umkate tozo ya Serikali kwa kutoa pesa bank kwenye Pesa hiyo hiyo.
Thats Robbery in a broad day light. Widen your tax base
Acheni quick fix its not Sustainable
Aliyeleta wazo la Tozo za Bank transfer alilenga kila mshahara wa watumishi wa serikali ukatwe kwa sababu mishahara yote inapita benki lakini kasahau kuwa mshahara huo huo umeshakatwa PaYE na kwa sheria za kikodi upaswi kufanya double taxation,Kama ikiendelea wafanyakazi mtaumia
Nauliza kwanini imepanda? ijapo bei ya petroli ni cha mtoto kwenye mafuta ya kula,,,tunaelekea wapi? na tufanyeje kuzuia vitu kupanda? naomba ushauri wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.