Hapana nyie ndo mnamkatisha rais na maneno yenu ya uongo uongo ,Mwelezini Rais ukweli,Mwambieni huduma ya afya kwenye hiyo hosp ni mbaya huoni kila mtu analalamika? au mpk na ww upoteze mmoja wa wanafamilia yako hapo???
Akienda Rais akakuta mambo hovyo mtasemaje?? Na imewahi kutokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.