Recent content by IKINGO

  1. I

    Bilioni 1.7 Kulipa Posho za Wenyeviti wa Vijiji na Mitaa

    Hapa wanaongelewa WENYEVITI wa VIJIJI au MITAA inayopatikana katika nchi ipi??.
  2. I

    Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere

    Bwawa kujaa ni tatizo na maji yakipungua ndo tatizo kubwa zaidi.Ni kifanyike kwa ujinga huu unaoendele huko juu????..
  3. I

    Kauli ya CDF mstaafu kuhusu waliotaka kupindisha katiba ili Rais Samia asiapishwe inanipa picha halisi ya kwanini Bashiru na wenzake walitenguliwa

    Viongozi wengi kuanzia state house hadi mjengoni hawajui katiba.Wanajua kutumia mabavu tuu.Hivi kiongozi mkubwa anaposema KATIBA NI MAKARATASI, Unaona ni jinsi gani tulivyo na viongozi wakubwa wasioijua katiba au wasioiheshimu katiba yetu.
  4. I

    IGP Mstaafu Omary Mahita achechemea hapa msibani kwa Mwinyi

    Muda ni ukuta.Wazungu wanakamsemo, 'Time will tell'
  5. I

    Mapendekezo ya CHADEMA juu ya Miswada ya Sheria za Uchaguzi ambayo Kamati ya Bunge inazuia yasisomwe Bungeni

    Aaaaah sasa inaonekana waaazi bila kificho una tatizo la kisaikolojia.Kubemendwa kubaya jamani.Wewe uko stage 4 ya madhara hayo.
  6. I

    Mapendekezo ya CHADEMA juu ya Miswada ya Sheria za Uchaguzi ambayo Kamati ya Bunge inazuia yasisomwe Bungeni

    Umekurupuka Kaka, hizo enzi zimepita.Angalia namna nyingine ya kuishi, mapema kabla uzee haujakuelemea.Kama mambo ni magumu sana, nenda ukawe hata CHAWA wa Mwijaku inaweza kuwa na tija kwako kuliko hii ligi unayoitamani.
  7. I

    Picha: Daraja la Bilioni 7.2 Kibiti

    Hicho kitu ni daraja ya Bilioni saba???.Tuwe Seriousy basi.
  8. I

    Dkt. Biteko: Kule Bukombe tuliwahi kuchagua Wapinzani tunaelewa madhara yake, nawasihi wananchi wote chagueni CCM

    Kama mawazo ya Biteko ndo hayo, Hata hiyo nafasi aliyopewa,Watanzania tumepigwa.Hakustahili.
  9. I

    Dkt. Doto Biteko ndiye Waziri Mkuu ajaye kuanzia 2025 - 2030

    Mnaanza kumsagia KUNGUNI sasaa!!.
Back
Top Bottom