Huu ni mtihani mzito saaaana kwa MSAJIRI WA VYAMA ambaye anaonekana wazi ni Double standard practicer.Mfupa mgumu mno kuung'ata huo.Ingekuwa ni CHADEMA wamefanya hivyo basi angeitisha mpaka na waandishi wa Habari kuichambua katiba ya chama.
Kampuni kufanya retrechment cyo jambo geni hata pale Bulyanhulu Gold Mine mwaka 2017 kilifanyika kitu kama hicho lkn issue iko kwenye Je kampuni inaachanaje na Mwajiriwa wake!!!!!.Barrick by then ACACIA waliachana vizuri mno na waliokuwa wafanyakazi wake kipindi cha zahama yao na RAIS WA KIPINDI...
Nakumbuka aliwahi kuhojiwa Mzee SITTA (marehemu )Kuhusu SERA ya elimu bure iliyokuwa inahubiriwa na CHADEMA,Aliulizwa kuhusu suala la kutoa ELIMU bure kuanzia chekechea hadi kidato cha nne, MZEE SITTA alipinga sana na kusema hilo jambo haliwezekani.Lakini sasa hivi elimu ni bure mpaka kidato cha...
Kumuita Rais wa nchi kuwa ni wa HOVYO ni kosa kubwa sana, Jerry Muro hakutakiwa kumuita rais wetu kwamba ni wa HOVYO,kakosea sana JERRY. Kwamba "HATA KAMA RAIS WETU NI WA HOVYO".Jerry kapata wapi ujasiri wa kumuita hivyo MH.RAIS?????.
Ccm huwa wanagawana majukumu, basi waliokuwa Wabunge watakuwa wamepangiwa kuwa hata makatibu wa ccm ngazi ya wilaya wakakijenge na wakakitumikie Chama.Na huko ndo kugawana majukumu, wataka vyeo wataendelea na jukumu lao hilo kama kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.