Viongozi wengi kuanzia state house hadi mjengoni hawajui katiba.Wanajua kutumia mabavu tuu.Hivi kiongozi mkubwa anaposema KATIBA NI MAKARATASI, Unaona ni jinsi gani tulivyo na viongozi wakubwa wasioijua katiba au wasioiheshimu katiba yetu.
Umekurupuka Kaka, hizo enzi zimepita.Angalia namna nyingine ya kuishi, mapema kabla uzee haujakuelemea.Kama mambo ni magumu sana, nenda ukawe hata CHAWA wa Mwijaku inaweza kuwa na tija kwako kuliko hii ligi unayoitamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.