Wakuu kwani lengo la kufanya Jaribio ni nini?, kwa sababu navyofahamu mimi lengo kuu la Jaribio ni kupima ufanisi kwa sababu mfanya Jaribio hana uhakika na ufanisi uliokusudiwa na kama Jaribio limeonyesha kuwa hakuna ufanisi tarajiwa basi Jaribio limefaulu kwa asilimia mia, na hivyo limewapa...
Bodi zote zaMazao zinapaswa kuwa bodi moja, na kila zao kuwa kitengo au idara ndani ya mwamvuli unaoitwa bodi ya mazao, hii itapunguza gharama ya kila zao kuwa na bodi.
Hawo Mabeberu wanapaswa kujua kuwa Tanzania ni Jamuhuri, na kama ni Jamuhuri basi inapaswa kujiamulia mambo yake yenyewe bila kupangiwa na wao Mabeberu.
Nakushauri upeleke malalamiko Yako Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Hawa nadhani wanaweza kukusaidia, waliwahi kusaidia kesi ya mwanafunnzi WA UDOM na taarifa Yao waliioto kwa Umma kama sikosei.
Umenena vyema kabisa mtumishi, sala ni kujipendekeza kwa Mungu Ili akupe upendeleo kuliko wengine na kusali ni Ubinfsi mkubwa sana hata Mimi huwa Sisali, kwani kitendo cha kupewa akili kinatosha kuishi na hatuhitaji kujipendekeza Wala kuwa chawa wa Mungu kwa njia ya Sala ama njia yoyote Ile.
Wakuu,
Mimi nikiwa kama Mtanzania mwenye akili timamu, nimechukizwa sana na jinsi watanzania mbalimbali walivyolishadadia na kuendelea kuchangia maoni yao kwa wanafunzi waliokuja kutoka Sudan kufanya mafunzo yao ya udaktari kwa vitendo katika chuo cha Afya Muhimbili.
Nasema nimegadhabishwa kwa...
Wewe mtoa mada kwani ni lazima kila siku sisi ndo tuwe watu wa kuiga, kwani na hao unaowasema hawawezi kuja kuiga huku?.Nadhani ifike wakati na sisi tujione kiwa tunaweza kifanya jambo letu na likaigwa na tuondokane na hizo fikra za kitumwa.
Huyu jamaa sijui hana kazi zingine za kufanya?,Huyu c msomo anayejinasibu kuwa amebobea kwenye maswala mtambuka ya uchumi, yaani anashindwa kufuga hata kuku?! Huyu c ndo hua anasemaga uchumi mzuri na vijana hawaoni fursa?, Kwanza huyu amekuwa kama kurumbizi kuvamia vibanda vya wengine na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.