Recent content by ikibharagara

  1. I

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa mitandao ya simu liangalieni hili litaharibu biashara zenu

    Asante.naongeza .inakuwaje unapata sms ya mganga wa jadi na anakudai ati alikutibu ukafanikiwa kisha ukatokomea na malipo yake. Namba zangu mteja nani kawapa. Pili.matangazo ambayo hayanihusu mnayatumaje?? Unatumiwa ujumbe ati hivYO HELA INGIZA KWA NAMBA HI I .JINA LITAKUJA XYZ NA USIPIGE SIMU...
  2. I

    JamiiForums Tanzania Namuendesha bosi msichana wenzangu wananicheka

    Neno lako la mwisho linautata mwanangu.UFANYEJE ILI UFAIDI WEMA WAKO. WEEpiga kazi professionally.utunze ajira yako tu.usitake na ndoa.labda a tu kama haujaoa,waweza kumchumbia hasa baadae. Kumbuka mtaka yote kwa pupa hukosa yote.nawewe unashuhudia kwamba umesota kabla ya kupata hiyo kazi. Asante.
  3. I

    JamiiForums Tanzania Namuendesha bosi msichana wenzangu wananicheka

    Neno lako la mwisho linautata mwanangu.UFANYEJE ILI UFAIDI WEMA WAKO. WEEpiga kazi professionally.utunze ajira yako tu.usitake na ndoa.labda a tu kama haujaoa,waweza kumchumbia hasa baadae. Kumbuka mtaka yote kwa pupa hukosa yote.nawewe unashuhudia kwamba umesota kabla ya kupata hiyo kazi. Asante.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Anayemjua Samwel Dismas Lymo, amepata ajali Mikumi

    Imenifundisha kitu. Poleni ndugu wa kamanda mdogo wangu...37 yrs! !! Taifa tulikuwa bado tunakuhitaji.
Back
Top Bottom